Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Pole sana, ndipo ilipofikishwa nchi yetu hapo. Serikali inaposhindwa kuwatafuta watu waliothibitika kusababisha wizi wa mabilioni...
Ikulu imetangaza leo kuwa serikali haimtafuti wala haina shida na kujua mahali alipo gavana aliyetimuliwa kazi kutokana na kashfa ya ufisadi, Daudi Ballali.
Kaka kawaida, salva aliitisha press conference leo na kati ya maswali aliyoulizwa ni hilo la Ballai na yeye akabainisha wazi kuwa kwa sasa Ballali ni RAIA HURU hivyo anaweza kuishi mahali popote anapopenda kwa sababu serikali haina shida naye kwa sasa.
Alisema baadaye itakapomuhitaji, kwa kuwa serikali ina mkono mrefu, itampata tu.
Ni kweli kabisa mwafrika wa kike yaani Watanzania ni watu wa ajabu sana. Kama inavyosemekana kuwa Tanzania ndio origin of mankind basi nina wasiwasi mkubwa kuwa our Intelligence decreases with time and changes in genomic makeup. Yaani ni aibu kubwa sana huku watanzania wenyewe wametulia kimya kabisa.
Ikulu imetangaza leo kuwa serikali haimtafuti wala haina shida na kujua mahali alipo gavana aliyetimuliwa kazi kutokana na kashfa ya ufisadi, Daudi Ballali.
Kaka kawaida, salva aliitisha press conference leo na kati ya maswali aliyoulizwa ni hilo la Ballai na yeye akabainisha wazi kuwa kwa sasa Ballali ni RAIA HURU hivyo anaweza kuishi mahali popote anapopenda kwa sababu serikali haina shida naye kwa sasa.
Alisema baadaye itakapomuhitaji, kwa kuwa serikali ina mkono mrefu, itampata tu.
Ikulu imetangaza leo kuwa serikali haimtafuti wala haina shida na kujua mahali alipo gavana aliyetimuliwa kazi kutokana na kashfa ya ufisadi, Daudi Ballali.
Kaka kawaida, salva aliitisha press conference leo na kati ya maswali aliyoulizwa ni hilo la Ballai na yeye akabainisha wazi kuwa kwa sasa Ballali ni RAIA HURU hivyo anaweza kuishi mahali popote anapopenda kwa sababu serikali haina shida naye kwa sasa.
Alisema baadaye itakapomuhitaji, kwa kuwa serikali ina mkono mrefu, itampata tu.
Huyu Mkullo anaaibisha taifa kwa kila anachosema. Kuna watu wa nchi zingine wanajiuliza kama katika watu wote Tanzania wenye elimu ya kutosha kwenye uchumi na fedha, Huyu Mkullo ndiye pekee yake anayefaa!!!!
Balali hatafutwi na serikali wajameni. Eleweni hivyo.
Kinachoendelea katika media ni spinning na ku divert attention yetu kutoka kwa Chenge Karamagi Lowassa na mafisadi wengine.
Kuweni macho wabongo!