johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,019
Bakwata wamesema clip inayozunguka mitandaoni ikidaiwa Mufti Zubeir amesema Hapana kwa mkataba wa DP World na TPA siyo ya kweli, ni feki
Bakwata imesema wamefuatilia na kugundua mzungumzaji katika clip hiyo siyo Muislamu, hivyo Baraza linatoa Onyo kwa Viongozi wa Dini nyingine kutomuongelea kwa hila Mufti na Shehe mkuu wa Tanzania
Bakwata imesema msimamo wao ni Ule uliotolewa kwenye Baraza la Eid el Adh'haa na Katibu wao alhaj Mruma kwamba maoni ya Wananchi kuhusu Bandari yasikilizwe, yafanyiwe Kazi na Kuzingatiwa
Nawatakia Sabato njema!
Bakwata imesema wamefuatilia na kugundua mzungumzaji katika clip hiyo siyo Muislamu, hivyo Baraza linatoa Onyo kwa Viongozi wa Dini nyingine kutomuongelea kwa hila Mufti na Shehe mkuu wa Tanzania
Bakwata imesema msimamo wao ni Ule uliotolewa kwenye Baraza la Eid el Adh'haa na Katibu wao alhaj Mruma kwamba maoni ya Wananchi kuhusu Bandari yasikilizwe, yafanyiwe Kazi na Kuzingatiwa
Nawatakia Sabato njema!