Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
Wakuu tokea asubuhi leo nimefatilia kwa ukaribu mjadala wa Wizara ya Maji huko Bungeni na nadiriki kusema uwezekano wa Bajeti hii kukwama ni mkubwa.
Wabunge wengi waliochangia hasa wa CCM (ambao wanatakiwa kuiunga mkono hata kama ni mbovu) leo wamshikilia shilingi yao.
Mpaka Lusinde ameikataa
Kessy wa Namanyere anasema wabunge amabo hawana maji kwao then wanaunga mkono hoja ni wanafiki na amewashauri wananchi wawafukuze majimboni. kamshauri na Naisbu spika asiunge mkono maana Kongwa hakuna maji.
Anasema Sinza mnapaita kwa wajanja ila maji ni shida sijui wanaoga mto msimbazi? halaf mnakaa kuomba miongozo na taarifa hapa bungeni. Amemshauri Raisi aifute wizara ya maji maana haina tija kwa taifa. Anasema zamani ilikuwa wizara ya maji, nishati na madini (wizara moja) ila maji yalikuwa yanapatikana ila sasa iko separate na ndio imekuwa shida zaidi.
Shabiby wa Gairo anasema wabunge wengi walijua Prof. maghembe asingerudi kwenye uwaziri baada ya yale mabadiliko ya Baraza. Anasema hata vitabu vya bajeti vilivyowasilishwa vina uongo mwingi.
Wabunge wanashauri waziri apigwe viboko ili maji yapatikane.
Haya ni maoni ya wabunge wa CCM.
Wapinzani ndo usiseme
My take: Kesho Act. PM Sitta anaweza kuja na kauli ya kuinusuru wizara hii
Wabunge wengi waliochangia hasa wa CCM (ambao wanatakiwa kuiunga mkono hata kama ni mbovu) leo wamshikilia shilingi yao.
Mpaka Lusinde ameikataa
Kessy wa Namanyere anasema wabunge amabo hawana maji kwao then wanaunga mkono hoja ni wanafiki na amewashauri wananchi wawafukuze majimboni. kamshauri na Naisbu spika asiunge mkono maana Kongwa hakuna maji.
Anasema Sinza mnapaita kwa wajanja ila maji ni shida sijui wanaoga mto msimbazi? halaf mnakaa kuomba miongozo na taarifa hapa bungeni. Amemshauri Raisi aifute wizara ya maji maana haina tija kwa taifa. Anasema zamani ilikuwa wizara ya maji, nishati na madini (wizara moja) ila maji yalikuwa yanapatikana ila sasa iko separate na ndio imekuwa shida zaidi.
Shabiby wa Gairo anasema wabunge wengi walijua Prof. maghembe asingerudi kwenye uwaziri baada ya yale mabadiliko ya Baraza. Anasema hata vitabu vya bajeti vilivyowasilishwa vina uongo mwingi.
Wabunge wanashauri waziri apigwe viboko ili maji yapatikane.
Haya ni maoni ya wabunge wa CCM.
Wapinzani ndo usiseme
My take: Kesho Act. PM Sitta anaweza kuja na kauli ya kuinusuru wizara hii