Bajeti ilipokuwa Trilioni 1.1 Wizara ya Afya ilishindwa kuajiri watumishi wapya; sasa ni Bilioni 890 itaajiri vipi 8000?

Aliyetangaza Ajira ni TAMISEMI au WIZARA YA AFYA. Tuache ushabiki wa kijinga na kukurupuka kwa vitu tusivyovijua. Stori umeambiwa kijiwen hata kabla ya kuitafiti unaleta JF, rudi kasome vzuri sasa ndio uje na upupu wako uwashike Ma Mburula wenzako.
 
jaman wizara ya afya haiajiri inayoajir n utumishi+tamisemi
pia walitoa ajira 2000+ mwez wa 11 mwak Jana
hizo ajira 8000 n za mwaka huu wa fedha (2017/18) na sio mwaka ujao wa fedha 18/19
 
Aliyetangaza Ajira ni TAMISEMI au WIZARA YA AFYA. Tuache ushabiki wa kijinga na kukurupuka kwa vitu tusivyovijua. Stori umeambiwa kijiwen hata kabla ya kuitafiti unaleta JF, rudi kasome vzuri sasa ndio uje na upupu wako uwashike Ma Mburula wenzako.
sahihi mkuu watu wanqjichanganya
 
Mwaka wa fedha 2017/2018 bajeti ya wizara ilikua 1.1 trilion na serikali haikuweza kuajiri watumishi wapya mwaka huu wa fedha bajeti n 890+ billion pungufu ya kiasi cha bil mia 200+ na serikali imetangaza ajira 8000 katika wizara hii. Inawezekanaje hili jambo au mishahara na allowance za watumish haiztokani na bajeti ya mwaka ya wizara husika!?? Naomba kufahamishwa wakuu.

Tamisemi ndo wanaohusika na hizo ajira. Wizara ya afya ina select tu.
 
Mwaka wa fedha 2017/2018 bajeti ya wizara ilikua 1.1 trilion na serikali haikuweza kuajiri watumishi wapya mwaka huu wa fedha bajeti n 890+ billion pungufu ya kiasi cha bil mia 200+ na serikali imetangaza ajira 8000 katika wizara hii. Inawezekanaje hili jambo au mishahara na allowance za watumish haiztokani na bajeti ya mwaka ya wizara husika!?? Naomba kufahamishwa wakuu.
Kwani mtu kufanyiwa usahili na kuajiliwa inatumia kiasi gani?
Wasipo toa ajira maneno, wametangaza ajira maneno.
Taaaabkwelikweli
 
Kwani kazi zikitangazwa leo lazima watu waajiriwe leo?, Labda wataajiriwa mwaka 2022!. Who knows!!

Giving people some hope is a part of politics!
 
Usiamini chochote kutoka kwenye serikali hii especially kwenye numbers.... Huwa wanajitajia tu
 
Natamani nivijue viwanda 3000 vilivyojengwa ndani ya miaka 2, kujazia idadi huenda hadi vya cherehani vikajumuishwa. shikam ccm
 
Jitahidi kuwa mwelewa kabla ya kupost na uache uongo! Yaweza kuwa huelewi,ajira 8000 zilizotangazwa na serikali ni bajeti ya mwaka 2017/2018 ambayo inaishia juni 30 2018,hizo bil 890+ ni bajeti ya mwaka ujao wa fedha unaoanza julai 01, 2018 hadi juni 30, 2019 ambapo kiasi hicho cha fedha bado hakijaanza kutumika.
we jamaa nae muongo kwel hata kama ni mapenzi na serikali sio hivo aisee, unataka kutwambia hao 8000 wataanza kufanya kazi kabla ya mwaka wa fedha 2018/2019? hawa kuja kuajiliwa mpaka mwezi wa 8 au wa 9 huko, sasa iweje watumie bajet ya 2017/2018 ambayo tayar tumeshaambiwa imetekelezwa chin ya 40%?
 
hizo ajira katangaza jaffo . au ummy pia bajeti ya mwaka jana hata kama ilikuwa kubwa ainategemea na kazi zipi ilikwenda kufanya umesahau ujenzi wa hospital 67 za wilaya ulikuwa kwenye bajeti ya mwaka jana.
 
Usiwe na shaka, hizi billion 200 zilizopunguzwa huenda miradi mikubwa ya afya mfano ukarabati, ujenzi na mengine yameshamalizika mwaka huu wa fedha unaoisha. Kwa hiyo kuajiri tusubiri muda uongee
 
Back
Top Bottom