dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,220
- 54,880
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Tumefikia ujinga wa kiasi hiki? Kuna uvumbuzi hapo? Huo mkokoteni wenye mota uliopigiliwa mabati ni uvumbuzi?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Tumefikia ujinga wa kiasi hiki? Kuna uvumbuzi hapo? Huo mkokoteni wenye mota uliopigiliwa mabati ni uvumbuzi?
Na hii bdio sababu hatuendelei, uvumbuzi hianza hivi, hata Toyota ya kwanza ilikuwa kitchekesho ukiilinganisha na za leo. Lakini huwezi kuenda km100 bila kuanza na hatua moja. Nilitegemea humu ndani mmpe mawazo ya kuboresha alichofanya, badala yake anapondwa. India walianza kutengeneza TATA kwa kuagiza vitu vingi Ujerumani, leo hii tuna TATA station wagon. Kama wahinsi wangemzodoa TATA wakati anaanza leo hii India isingekuwa hapo ilipo kiteknolojia.Tumefikia ujinga wa kiasi hiki? Kuna uvumbuzi hapo? Huo mkokoteni wenye mota uliopigiliwa mabati ni uvumbuzi?
Kwani kagundua nn? Tuseme ameunda injini yake mwenyewe na sio ameunganisha tu?Kuna wagunduzi wengi nchi hii ila hatuna mfumo rasmi wa kuwatambua na kuwaendeleza na tatizo kubwa ni wasomi wenye makaratasi
Kajitahidi kwa level ya kibongo.Tumefikia ujinga wa kiasi hiki? Kuna uvumbuzi hapo? Huo mkokoteni wenye mota uliopigiliwa mabati ni uvumbuzi?
AmeunganishaKwani kagundua nn? Tuseme ameunda injini yake mwenyewe na sio ameunganisha tu?
Huyo siyo mgunduzi,ni muigizaji,amechukua bodaboda akaivisha bodi.Kuna wagunduzi wengi nchi hii ila hatuna mfumo rasmi wa kuwatambua na kuwaendeleza na tatizo kubwa ni wasomi wenye makaratasi
Shangaa hata wewe.Tumefikia ujinga wa kiasi hiki? Kuna uvumbuzi hapo? Huo mkokoteni wenye mota uliopigiliwa mabati ni uvumbuzi?
Sidhani.Kajitahidi kwa level ya kibongo.
Nothing special there. Hii haina hadhi ya kuitwa ''uvumbuzi'' unless uwe hujui ni nini maana ya uvumbuzi.Na hii bdio sababu hatuendelei, uvumbuzi hianza hivi, hata Toyota ya kwanza ilikuwa kitchekesho ukiilinganisha na za leo. Lakini huwezi kuenda km100 bila kuanza na hatua moja. Nilitegemea humu ndani mmpe mawazo ya kuboresha alichofanya, badala yake anapondwa. India walianza kutengeneza TATA kwa kuagiza vitu vingi Ujerumani, leo hii tuna TATA station wagon. Kama wahinsi wangemzodoa TATA wakati anaanza leo hii India isingekuwa hapo ilipo kiteknolojia.
Picha please ya izo busWanajitahidi shida ya wavumbuzi wengi wa bongo finishing ndo inawashinda.
Mchina utupigia kwenye finishing.Finishing ndo inauza product.Indonesia, Malaysia vijana wadogo tu Chini ya mti wanasuka body za mabus kwa welding machine,grenda,nk kwa naksi na finishing kali mchina akasome.Hizo bus zikingiia bongo unazungumzia milioni 500.
CCM inahitaji NEC na vyombo vya dola kushinda si kura yako.tuwaelimishe" Waache kuipigia KURA CCM .... maana ndiye adui wa Maendeleo Yao".....
Mataga hawajui,wanafikili kuchukua pikipiki na kuchomelea mabati ndiyo uvumbuzi.Nothing special there. Hii haina hadhi ya kuitwa ''uvumbuzi'' unless uwe hujui ni nini maana ya uvumbuzi.
Hivi unajua uvumbuzi ni nini? Hapa hakuna uvumbuzi ni assembling tu. Unafikiri hizi bajaji hazipo?Kuna wagunduzi wengi nchi hii ila hatuna mfumo rasmi wa kuwatambua na kuwaendeleza na tatizo kubwa ni wasomi wenye makaratasi