Rawasen
Senior Member
- Aug 11, 2014
- 156
- 51
Huu Wimbo Nimeusikia Muda Si Mrefu Jinsi Anavomsifia Lowasa Lakini Sijajua Nianze Kusema Nini
Ni Lowasa Anamjua Sana Mungu
Maana Nimesikia Akisema Lowasa Atatawala Kwa Amani, Lowasa Amepakwa Mafuta, Lowasa Yupo Kama Mfalme Suleimani
Udini Au Ni Njaa Tu Au Ndo Viti Maalumu
Utafuteni Muusikilize
Ni Lowasa Anamjua Sana Mungu
Maana Nimesikia Akisema Lowasa Atatawala Kwa Amani, Lowasa Amepakwa Mafuta, Lowasa Yupo Kama Mfalme Suleimani
Udini Au Ni Njaa Tu Au Ndo Viti Maalumu
Utafuteni Muusikilize
1. MSINGI WA SIASA NI MUNGU SIO BAHATI BUKUKU.
Hakuna alichokifanya Bahati zaidi ya jukumu na wito wake.soma maandiko haya kisha hitimisho kwa chini.ila kama ni wale mliotumwa kutekeleza ile siri iliyovuja, hata kama ukisoma haitokusaidia.
1.1. Rumi 13:1-3 "..hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, Na kila iletwayo, Imeanznishwa na MUngu".
SWALI: Je alilofanya Bahati limetokaje kwa shetani?
1.2. (1 Timothy 2:1-2.).."waombeen, watakie heri na washukuruni watawala wote"
SWALI: Kama tunapaswa kuwaombe, na kila siku wachungji watufungisha kavu kuwaombea imekuwaje dhambi lifanyikapo hilo kwa nyimbo? Ni kukua au utoto?
1.3 Mathay 28:18. Mamlaka yote mbinguni na duniani ni yangu.
SWALI: kama mamlaka ni ya Yesu, Imekuaje Bahati ashutumiwe kafanya kwajili ya Lowassa na sio , na sio kazi ya mwenye mamlaka hyo?
1.4 Mithal 14:34.." Mwenye haki huliinua taifa bali mwenye dhambi huliangamiza.
SWALI: Kama Bahati hawezi kumuinua kiongozi afaaye kwa taifa atawezaje kuliinua taifa kama mwenye haki?
1.5 Jeremia 29:7 …."Yatake maslahi ya mji niliyo kuagiza kwanza"
SWALI: Maslahi ya TZ kwa sasa ni Kiongozi tumtakaye. Je kaenda zaidi ya hapo?
2. HITIMISHO.:
Japo ni kawaida wajinga kuwa wabishi kuliko welevu, kama hukunielewa kwa maandiko basi shaurika kuwa, WITO wa mtu, una yeye na Mungu aliyemtuma na nini afanye. Pia, Bahati ni mtu ambaye kama humjui, utajikwaa sana, ila nikati ya watu adimu walio makini na Huduma na Wanaoishi kihuduma. Hawezi kufanya kitu, kama Mungu amemkataza. (Mtafute kwa shuhuda)
Kinacho tusumbua kwanza ni wale waliona pipi midomoni za wagombea wanahaha why Lowassa?
Pili ni ufinyu wa kuelewa kazi za mwimbaji wa gospel na mapana ya huduma ya mwimbaji iko wapi.
TUNAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA. WOKOVU SIO KUZIFYATUA, NAKUISHI PEPONI KABLA HUTUJAFIKA.
3. USHAURI.
Humu sio Bungeni kunakolindwa hata kauli zisizo faa.. Kauli za kumdharirisha mtu, hakikisha unautetezi wake wa kisheria kabla hujazitoa.
Kuzingatia ni chaguo lako.
BAHATI SONGA MBELE NA HUDUMA. ASIPOPATIKANA ATHAMINIYE LA MUNGU, TUTALIFANYIA WAPI LA MUNGU LA SHETANI LISIWE KIKWAZO?
REV. MOSES J