BAE won't refund money back to URT; will give it to charities!

-Lakini hili suala si bado linaendelea kuidhalilisha nchi?Nadhani our intergrity and dignity imeonekana si kitu tena

-Hao jamaa warudishe hizo hela kupitia channel ya Serikali ya Tanzania na kuomba serikali izingatie au itoe priority kwa hizo charity groups.Sasa hapo ni kama tumepewa Msaada,hiyo Move yao inaidhalilisha nchi.Ingawa sisi tumetoa mazingira ya kudhalilishwa kwa kuruhusu mijitu isiyo mizalendo kusaini mikataba ya ajabu and yet hakuna mtu anayetaka kuwawajibisha,still nadhani wangerudisha hizo hela kupitia serikalini.

-Infact serikali nayo ikikomalia hapa nitaishangaa maanake hawaku-fight kuhusu hizi hela.Na still haijawachukulia hatua watuhumiwa waliosababisha yote haya,najua Membe atatumia mbinu ya Diplomasia chafu kusema huu ndo ushahidi,but ataendelea kulidhalilisha Taifa.Hii ni serikali ya kushangilia matukio bila kuwajibika.But,ukweli unabaki pale pale kuwa BAE wakifanya hivi ni fedheha.Na pia hizo charity Groups watakazochagua watahakikisha vipi kama hakuna maslahi yao huko?
 
kwa nini mkapa, chenge, idrisa rashid, mramba, n.k. hawanyongwi? ingekuwa china tungekwisha wasahau.
 
sijawahi kuona kitu kinakuja tu mezani, je toka hawa jamaa wa BAE wapigigwe faini Tanzania imechukua hatua gani, au ndo wanasubiri check mezani, unajua sisi tunabaki kulala tu, lakini sometimes naona tatizo kubwa ni uelewa wa Viongozi wetu, watu wengine wamesoma lakini kutafsiri mambo kunawashinda, na ndo maana tunaingia mkenge kila mara, viongozi wetu wengi VIHIYO, wao walitakiwa kupresent maada serikali ya Uingereza on how the BAE should handle that check unless otherwise you file a case (theft lawsuit), hii inaonyesha how hii shule tunayosoma na kujiita sijui Dr. Membe na wenzake haitusaidii---Mr. President where are you, umelala??????, please wake up, wambie watu wafanye kazi, hayo makongamano waachane nayo, kama hakuna watu ambao wanaweza kufanya brainstorming tupo hapa. Hizo hela ni za walipa kodi, tuliibiwa na wanataka kuzirudisha, sasa msitegemee huruma, zifuateni please.
 
We are too weak and our last hope is on our government. But these people (the British Government) know that all along they have been sucking our blood through our government. Which, after the death of Mwalimu, reamins only a puppet government full of corrupt individuals ready to do anything to enrich themselves.

The British government (read here individuals who benefited out of this deal) know that we are filthly poor, illiterate and useless even to ourselves and they have been using us to build their fortunes in their country (Britain). Only that this deal has been TOO ROTTEN that nearly everybody has seen it. So what they are doing is washing their faces before the international community, knowing well that they will still do alot of such deals in future with same government officials. Why don't they institute same embargo they are punishing Mugabe with to Tanzanian officials whom they know were part and benefited out of this deal? They know this DEAL (READ THEFT) AND MANY MORE THEY ARE DOING WILL WILL ONLY KILL THE POOR PEOPLE OF TANZANIA WHO THEY SEE AS USELESS .

Otherwise they could have done a Mugabe kind of embargo starting from former President and all who were involved. But for sure they don't do that because they know these people are their partners in sucking blood from poor people of Tanzania. Who will help them later if they crucify them today??

We are paying billions every year in debts that were taken in deals like this one AND AT TIMES THEY SAY THEY ARE FORGIVING US OUR DEBTS!!

Even the money they are saying will come to Tanzania through NGO is simply another conspiracy to steal. You will see NGO with connections to people with questionable integrity geting the money. Millions will be used to pay consultants or advisors who will be employed by those NGO (for international ones) and these consultants are not going to come from nowhere other than the UK!!!!
 
-Hivi article 46-53 ya Vienna convention inaongeaje kuhusu Invalidation of treaties ambazo kuna elements za Fraud,corruption etc?

-Ingewezekana tuakaona mkataba kati ya serikali na BAE halafu tuuchambue.Sijui interpretation ya huo mkataba ilikua vipi.Na huo mkataba ulikuwa eligible au ulikuwa published UN?


Comrade, Vienna Convention has nothing to do with this affair. Hii ni rushwa. Period. Contrary to what some people allege here, this issue is just corruption syndicate between the GoT and a private company in the name of BAE. Infact I dont see how Britain comes in the equation. We were the willing buyer/infact tuliibiwa kwa kupenda wenyewe. Sasa kwa nini leo tuilaumu serikali ya UK wakati viongozi wetu ndo wali-mastermind deal zima na kupeleka pesa kwenye account zao huko nje? Or you forgot when we talk of the governement here..we mean Chenge and co?

I really dont know why this issue is becoming difficult to understand for some people. Tanzania or rather Tanzanians lost through their greedy leaders. All assumptions of prosecuting the culprits etc..assume that our governement is interested in doing so, forgeting that "the government" in the first place was responsible in the swindling of the money! Sasa itajishtaki? Membe yeye anataka kudai change iliyobaki kusudi aweze ku-finance nafasi ya yeye kurudi madarakani! Whats wrong with Tanzanians jamani???????? we take too long to understand small and obvious things!

No wonder we are slated to elect the same people later in the year to bring changes in our lives! Hakuna aise..miafrika...ndivyo tulivyo!

So give a break to Gordon Brown..he has an election to fight for...deal with your own incompetent and corrupt leaders!

Masanja,
 
Comrade, Vienna Convention has nothing to do with this affair. Hii ni rushwa. Period. Contrary to what some people allege here, this issue is just corruption syndicate between the GoT and a private company in the name of BAE. Infact I dont see how Britain comes in the equation. We were the willing buyer/infact tuliibiwa kwa kupenda wenyewe. Sasa kwa nini leo tuilaumu serikali ya UK wakati viongozi wetu ndo wali-mastermind deal zima na kupeleka pesa kwenye account zao huko nje? Or you forgot when we talk of the governement here..we mean Chenge and co?

I really dont know why this issue is becoming difficult to understand for some people. Tanzania or rather Tanzanians lost through their greedy leaders. All assumptions of prosecuting the culprits etc..assume that our governement is interested in doing so, forgeting that "the government" in the first place was responsible in the swindling of the money! Sasa itajishtaki? Membe yeye anataka kudai change iliyobaki kusudi aweze ku-finance nafasi ya yeye kurudi madarakani! Whats wrong with Tanzanians jamani???????? we take too long to understand small and obvious things!

No wonder we are slated to elect the same people later in the year to bring changes in our lives! Hakuna aise..miafrika...ndivyo tulivyo!

So give a break to Gordon Brown..he has an election to fight for...deal with your own incompetent and corrupt leaders!
Masanja,

Bravo Masanja, unajua tunabehave kama vile mambo yetu tunayafanyia gizani na uchafu wetu hauonekani. Ni waziri katika serikali ya Uingereza ndiye alikuwa wa kwanza kupaza sauti akiishangaa hii serikali ya nchi masikini kwa kuingia kwenye hiyo biashara kichaa ya ndege. Serikali ya Uingereza inaelewa vema kwamba serikali yetu pamoja na uozo wake wote, masikini wa chi hii waliiweka madarakani kwa kura zaidi ya asilimia 80%. Katika misingi hiyo serikali ya Uingereza inaelewa fika kwamba watanzania wako nyuma ya serikali yao na si ajabu watairudisha tena madarakani katika uchaguzi ujao iendelee kuwaibia. Pamoja Watanzania kuonyesha kuwa hawakerwi na hali hiyo, mfuko wetu wa hazina yaonekana umetobolea na panya, sasa Waingereza watatumbukizaje hela huko ?
 
Comrade, Vienna Convention has nothing to do with this affair. Hii ni rushwa. Period. Contrary to what some people allege here, this issue is just corruption syndicate between the GoT and a private company in the name of BAE. Infact I dont see how Britain comes in the equation. We were the willing buyer/infact tuliibiwa kwa kupenda wenyewe. Sasa kwa nini leo tuilaumu serikali ya UK wakati viongozi wetu ndo wali-mastermind deal zima na kupeleka pesa kwenye account zao huko nje? Or you forgot when we talk of the governement here..we mean Chenge and co?

I really dont know why this issue is becoming difficult to understand for some people. Tanzania or rather Tanzanians lost through their greedy leaders. All assumptions of prosecuting the culprits etc..assume that our governement is interested in doing so, forgeting that "the government" in the first place was responsible in the swindling of the money! Sasa itajishtaki? Membe yeye anataka kudai change iliyobaki kusudi aweze ku-finance nafasi ya yeye kurudi madarakani! Whats wrong with Tanzanians jamani???????? we take too long to understand small and obvious things!

No wonder we are slated to elect the same people later in the year to bring changes in our lives! Hakuna aise..miafrika...ndivyo tulivyo!

So give a break to Gordon Brown..he has an election to fight for...deal with your own incompetent and corrupt leaders!

Masanja,

Well said Masanja,I couldn't have put it better. Kama tumeshindwa ku-deal na viongozi wetu, tufyate mkia, tusiwabebeshe watu wengine mizigo ambayo haiwahusu!
 
Chenge bado ni mheshimiwa mbunge!!! Wakati vijana kibao wasiokua na hatia, wanaoitwa wazururaji wamejazana jela. Kamata Chenge na wenzake tupa jela gudem
 
14th March 2010
Under the new deal between the SFO and BAE System announced on Friday, Tanzania may get a refund of $28 million (Sh37.8 billion)—an amount that could pay for 9,500 students to pursue their undergraduate studies for two years or provide 7.4 million families with treated mosquito nets at a cost of Sh5,000 per net.

Niliona maelezo ya Membe akitoa macho kwa nguvu juu ya pesa hiyo kurudishwa serikalini. Nahisi alishaona mwanga wa kuzichota tena.

BAE ndo walipewa hiyo kickback na wanaserikali yetu. Sasa hivi wamebanwa kisheria, wanarudisha lakini siyo huko walikopewa.

Naona hata BAE kupitia hayo majadiliano ya kupeana rushwa waligundua akili ndogo ya viongozi wa TZ. Hata wakiitoa pesa hiyo kwa serikali bado watagawana na kutoa zawadi kidogo kwa Chenges.
 
Comrade, Vienna Convention has nothing to do with this affair. Hii ni rushwa. Period.

So give a break to Gordon Brown..he has an election to fight for...deal with your own incompetent and corrupt leaders!

Masanja,

Mkuu Masanja Respect sana!

BAE ni shirika la serikali ya Uingereza.Mkataba ulikuwa kati ya serikali ya Tanzania na hilo shirika.

Kama Serikali isingekuwa lazy katika haya mambo,na kama mkataba ungekuwa umechapishwa UN still Viena convention ingehusika.Tungeweza bado kuangalia jinsi ya kuvunja mkataba.

Kwenye suala la corruption si ndo hapo hapo ambapo vienna convention imesizitiza?

Anyway,viongozi wa hii serikali ndiyo wababishaji na sasa hivi hawana la kutuambia.ni wanafiki watupu.Sikubaliani na suala la BAE kukataa kurudisha fedha kwa serikali ya Tanzania.Huu ni udhalilishaji ambao infact umechangiwa na viongozi wetu
 
Mkuu Masanja Respect sana!

BAE ni shirika la serikali ya Uingereza.Mkataba ulikuwa kati ya serikali ya Tanzania na hilo shirika.


Kwanini unafikiri kuwa BAE ni shirika la "serikali ya Uingereza". Nakumbuka JK alisema jambo hili wakati ule na tukamkatalia.
 
Back
Top Bottom