Mkuu umenikumbusha mbali sana! Hayo matunda adimu sana siku hizi,enzi zetu tuli enjoy sana.Na ntarali na mbuguswa zipo
Mkuu umenikumbusha mbali sana! Hayo matunda adimu sana siku hizi,enzi zetu tuli enjoy sana.
duh...yani kuyaona tu mate yameanza kunitoka...umenikumbusha longi sana...hilo moja lilikuwa linaliwa na watu karibia kumi na linatosha
yapo...ila siku hizi ubrothermen na usister duu umeshamiri,huwezi kuta mtu anakula hivyo siku hizi...kweli old is gold jamani!
yaani kuyaona tu,mate kibakuli...itabidi niyatafute nikumbuke enzi!
Mabungo yako adimu kutokana na misitu mingi kukuingiliwa na makazi ya watu. Kwani yale yalikua matunda ya porini.Du wajameni tunakumbushana mbali!!!!! enzi za shule ya msingi hizo. Unaambiwa hata ukija na embe changa utazusha ugomvi sana! Afu kuna mshkaji kanikumbusha mabungo! hivi yale matunda bado yapo kweli?
Na mihogo ya kukaanga na mchanganyiko wa chumvi na pilipili je??