Bourgeoisie
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 656
- 162
Eeeee bana! Nimekumbushwa mbali wakuuu.Nimevikumbuka viazi vya kukaanga na mafuta ya mawese na kuvila na chumvi! Duh! Maisha yale yalikuwa mazuri we acha.
kuna ile mizizi inayopatikana sehemu kame kiasi jamii ya viazi fulani (ng'oti) we acha tu. mmenikumbusha mbali sana wakuu!!.