ExpertBroker
JF-Expert Member
- Jun 1, 2009
- 454
- 107
Kiujumla hatuna housing policy hapa Bongo ndio maana suala la makazi halipewi kipaumbele! Economic Development Planning inafanywa na wachumi ambao huwa hawaoni kama suala la nyumba linachangia katika pato la taifa(GDP) directly, na hivyo issue ya housing kunyimwa umuhimu!
Ndio maana Dr. Slaa kwenye kampeni zake alitumia sana suala la makazi as his selling campaign weapon, kwani makazi yanamgusa kila mtu!
Kutopewa kipaumbele suala la makazi na hivyo kutakuwa na housing policy, ndio maana tumekuwa tukisonga kwa miaka mingi bila sheria za ardhi zinazoleweka, poor planning policy, and even those policies existing, no enforcement, no strict follow-up!
Na ndio maana over 70% ya jiji ni unplanned, na still the government is zipping his lips big time! Hakuna mkakati madhubuti wakutatua tatizo hili zaidi ya miradii ya kifisadi, mfano 20,000 plots projects ambapo plots zenyewe huambuliwa na wenye mikono mirefu! Kuna issue ya haki ya mpangaji, just imagine kodi inalipwa kwa mwaka au miezi sita na serikali imeendelea kupotezea wananchi waumie! Hii yote ni kukosekana housing policy na suala la makazi kupewa kipaumbele na hivyo kujali hali ya mwananchi wa kawaida!
Tukirudi kwenye hiyo miradi ya mashirika, hivi low cost housing ni ipi na affordable housing ni ipi? A total confusion! Kwa definition yangu, low cost housing au affordable homes zinatakiwa zi-base kwenye kima cha chini cha mshahara, minimum wage-rate, then tuangalie huyu mtu akikopa bank atapata kiasi gani kutegemea na mshahara wake! From there we can establish a market price for those houses, but now kila mtu anapuyanga anavyotaka just because hatuna sera ya nyumba na hakuna sheria madhubuti na nobody is caring!
Attachments
Last edited by a moderator: