professional ethics
Senior Member
- Dec 24, 2023
- 108
- 352
Hope wote ni wazima wa afya.
Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.
Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.
Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.
Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.
Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.
Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.