GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Ni mtazamo wangu kwa sababu naona vijana wengi wanaokua sasa hivi
wakiwa kwenye mikakati mizito ya jinsi ya kupata mijimama au wanawake
wenye pesa.
1.Ni wavivu
2. Wanatumia muda mwingi kujiremba kama wafanyavyo wanawake.
3.Huthubutu hata kutumia vipodozi vya wanawake.
Siku zinakuja, tutashuhudia Vijana hawa wakiolewa na wanawake... INASIKITISHA!
wakiwa kwenye mikakati mizito ya jinsi ya kupata mijimama au wanawake
wenye pesa.
1.Ni wavivu
2. Wanatumia muda mwingi kujiremba kama wafanyavyo wanawake.
3.Huthubutu hata kutumia vipodozi vya wanawake.
Siku zinakuja, tutashuhudia Vijana hawa wakiolewa na wanawake... INASIKITISHA!