ndoa kama hizo,ndio zinadumu na zinakuwa na mapenzi ya kweli
au ni annivessary?kama sio supplimentary,lol!
kwa ndoa za sasa ni kazi.bora ya miaka 2 au 5 lakini iwe ya furaha,kuliko 10 au 15 iwe haina furahaLazima zidumu maana life expectancy 47 years wao wameoana wakiwa na 55 years (probably) Maanake wameshakopa muda wa kuishi. Kudumu miaka miwili au mitano kwani kazi?
Mbona mnataka kubadilisha maana ya picha. Hawa wazee hawakupiga hiyo siku cku ya harusi, bali cku ya wapendanao(V-day). It means they r blessing and praise their wedding.
Mbona mnataka kubadilisha maana ya picha. Hawa wazee hawakupiga hiyo siku cku ya harusi, bali cku ya wapendanao(V-day). It means they r blessing and praise their wedding.
[/attach][/attach]
usikate tamaa bado haujachelewa