cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 86,554
- 138,806
Uwt atachukua Ndalichako.
Uwt atachukua Ndalichako.
Kuteua na kutengua ni njia ya kujiimarisha.Nadhani ccm hawakai kama Kamati katika kupendekeza kuchambua na kupitisha nani awe nani ndani ya chama. Yawezekana maamuzi mengi hutegemea mahaba na mapendekezo ya mtu au kikundi cha watu wachache. Sina hakika na hili ndiyo maana nimetumia maneno nadhani na yawezekana.
Ukiangalia kwa nje, wanaccm wengi walifurahia sana uteuzi wa Makonda kuwa mwenezi na wamepigwa na butwaa baada ya kutenguliwa. Sasa unajiuliza ikiwa demokrasia ilifanya kazi ya kumteua iweje isitumike kumtengua, mpk inaacha malalamiko?
Hii ni ishara kuwa kuna kikundi cha watu wachache ama mtu mmoja (mwenyekiti) ndiye huamua nani awe ni nani ndani ya chama.
Pili, Jokate Mwegelo aliyeteuliwa Oktoba mosi 2023 kuwa katibu wa UWT taifa, leo ametenguliwa na kuteuliwa kuwa katibu mkuu UVCCM. Je, Jokate amepwaya ktk nafsi hii kwa muda mchache kiasi hiki? Hamkumchunguza kabla ya kumteua?
Pamoja na uteuzi na utenguzi wa leo, bado nafasi ya katibu mkuu UWT taifa haijajazwa. Hivyo muda si mrefu utasikia mtu anateunguliwa halafu anateuliwa kujaza nafasi ya UWT taifa.
Ccm bado kunafukuta, tutaendelea kushuhudia teuzi na tenguzi ndani chama hiki kikongwe.
Hana sifa, kabebwa tu. Makonda hafai hata ujumbe wa mtaaKuteua na kutengua ni njia ya kujiimarisha.
Baadhi ya watu ukiwapa cheo furani wanahaha nchi nzima kusumbua watumishi ambao wapo chini ya mamlaka nyingine.
Mtu kama huyo lazima umuondoe, kama unadhani bado ana sifa utampeleka eneo lingine.
Siyo suala la kusikia. Ndiyo kilichombebaAlafu naskia mwenezi mpya ni miongoni mwa mtoto pendwa sana ndani ya list yake!!
Ni muendelezo wa ule usemi "ccm Ina wenyewe". Hao ndiyo wenyewe Sasa.Hiv ukisha hudum ndani ya chama ndo huwez kubadilishwa mazima maana wale waliowekwa kando ninaona wakirudishwa tz kunatatizo na inakera sana
Makala hata dumu, hana ushawishi. Kwasasa hatuhitaji mwenezi father tunataka mwenezi kijana mwenye vibes. Makala mpenda rushwa. Team JK inayumbisha sana chama kwa mtazamo wangu. Bado sioni kwanini Makonda katoka. Mapungufu yake angeweza ambiwa tu abadilike.Nadhani CCM hawakai kama Kamati katika kupendekeza kuchambua na kupitisha nani awe nani ndani ya chama. Yawezekana maamuzi mengi hutegemea mahaba na mapendekezo ya mtu au kikundi cha watu wachache. Sina hakika na hili ndiyo maana nimetumia maneno nadhani na yawezekana.
Ukiangalia kwa nje, wanaccm wengi walifurahia sana uteuzi wa Makonda kuwa mwenezi na wamepigwa na butwaa baada ya kutenguliwa. Sasa unajiuliza ikiwa demokrasia ilifanya kazi ya kumteua iweje isitumike kumtengua, mpk inaacha malalamiko?
Hii ni ishara kuwa kuna kikundi cha watu wachache ama mtu mmoja (mwenyekiti) ndiye huamua nani awe ni nani ndani ya chama.
Pili, Jokate Mwegelo aliyeteuliwa Oktoba mosi 2023 kuwa Katibu wa UWT taifa, leo ametenguliwa na kuteuliwa kuwa katibu mkuu UVCCM. Je, Jokate amepwaya ktk nafsi hii kwa muda mchache kiasi hiki? Hamkumchunguza kabla ya kumteua?
Pamoja na uteuzi na utenguzi wa leo, bado nafasi ya katibu mkuu UWT taifa haijajazwa. Hivyo muda si mrefu utasikia mtu anateunguliwa halafu anateuliwa kujaza nafasi ya UWT taifa.
CCM bado kunafukuta, tutaendelea kushuhudia teuzi na tenguzi ndani chama hiki kikongwe.
☹️☹️, upo sahihi kabisa.. Legacy ya kipara wanatamani ifutike mapema sana..Siyo suala la kusikia. Ndiyo kilichombeba
Mm nilipoona yulewa mwanzo amekazana kumuabudu jiwe kwenye mikutano yake nikajua tu huyu hatadumu
Huyu alikuwa anamdimiza mama na kumpa promo marehemu.Bado sioni kwanini Makonda katoka. Mapungufu yake angeweza ambiwa tu abadilike.
CCM kumejaa mafisi JakayaIngelikuwa na hazina kiasi hiki isingekuwa inahangaika. Hata jiwe alilazimika kukopa mawaziri toka nje ya ccm. Yaelekea ccm ukame wa watu weledi na waadilifu
Kesho unaweza sikia masha love au steve mengele katibu mkuuNadhani CCM hawakai kama Kamati katika kupendekeza kuchambua na kupitisha nani awe nani ndani ya chama. Yawezekana maamuzi mengi hutegemea mahaba na mapendekezo ya mtu au kikundi cha watu wachache. Sina hakika na hili ndiyo maana nimetumia maneno nadhani na yawezekana.
Ukiangalia kwa nje, wanaccm wengi walifurahia sana uteuzi wa Makonda kuwa mwenezi na wamepigwa na butwaa baada ya kutenguliwa. Sasa unajiuliza ikiwa demokrasia ilifanya kazi ya kumteua iweje isitumike kumtengua, mpk inaacha malalamiko?
Hii ni ishara kuwa kuna kikundi cha watu wachache ama mtu mmoja (mwenyekiti) ndiye huamua nani awe ni nani ndani ya chama.
Pili, Jokate Mwegelo aliyeteuliwa Oktoba mosi 2023 kuwa Katibu wa UWT taifa, leo ametenguliwa na kuteuliwa kuwa katibu mkuu UVCCM. Je, Jokate amepwaya ktk nafsi hii kwa muda mchache kiasi hiki? Hamkumchunguza kabla ya kumteua?
Pamoja na uteuzi na utenguzi wa leo, bado nafasi ya katibu mkuu UWT taifa haijajazwa. Hivyo muda si mrefu utasikia mtu anateunguliwa halafu anateuliwa kujaza nafasi ya UWT taifa.
CCM bado kunafukuta, tutaendelea kushuhudia teuzi na tenguzi ndani chama hiki kikongwe.
Lipo kundi fulani lenyewe linatazama tu kinacho endelea na kuweka mikakati A.Nadhani CCM hawakai kama Kamati katika kupendekeza kuchambua na kupitisha nani awe nani ndani ya chama. Yawezekana maamuzi mengi hutegemea mahaba na mapendekezo ya mtu au kikundi cha watu wachache. Sina hakika na hili ndiyo maana nimetumia maneno nadhani na yawezekana.
Ukiangalia kwa nje, wanaccm wengi walifurahia sana uteuzi wa Makonda kuwa mwenezi na wamepigwa na butwaa baada ya kutenguliwa. Sasa unajiuliza ikiwa demokrasia ilifanya kazi ya kumteua iweje isitumike kumtengua, mpk inaacha malalamiko?
Hii ni ishara kuwa kuna kikundi cha watu wachache ama mtu mmoja (mwenyekiti) ndiye huamua nani awe ni nani ndani ya chama.
Pili, Jokate Mwegelo aliyeteuliwa Oktoba mosi 2023 kuwa Katibu wa UWT taifa, leo ametenguliwa na kuteuliwa kuwa katibu mkuu UVCCM. Je, Jokate amepwaya ktk nafsi hii kwa muda mchache kiasi hiki? Hamkumchunguza kabla ya kumteua?
Pamoja na uteuzi na utenguzi wa leo, bado nafasi ya katibu mkuu UWT taifa haijajazwa. Hivyo muda si mrefu utasikia mtu anateunguliwa halafu anateuliwa kujaza nafasi ya UWT taifa.
CCM bado kunafukuta, tutaendelea kushuhudia teuzi na tenguzi ndani chama hiki kikongwe.
Kama ni lile la Kanda pendwa liendelee kuomboleza tu. Watoto wa mjini kamwe hawaachi bucha wazi kwa kwa washamba tenaLipo kundi fulani lenyewe linatazama tu kinacho endelea na kuweka mikakati A.
Ipo Siku hao washamba watageuza juu chini kuhusu hii nchi , kiufupi hii vita ya mgawanyiko ndio imeanza na hakuna wa kuizima ni suala la Muda tu , washamba waombe nao nchi yaoKama ni lile la Kanda pendwa liendelee kuomboleza tu. Watoto wa mjini kamwe hawaachi bucha wazi kwa kwa washamba tena
Wananchi, wanachama na serikalini kwa asilimia kubwa hufuata mkumbo kama nyumbu. Hii ni changamoto kubwa na msingi wa umasikini.Nadhani CCM hawakai kama Kamati katika kupendekeza kuchambua na kupitisha nani awe nani ndani ya chama. Yawezekana maamuzi mengi hutegemea mahaba na mapendekezo ya mtu au kikundi cha watu wachache. Sina hakika na hili ndiyo maana nimetumia maneno nadhani na yawezekana.
Ukiangalia kwa nje, wanaccm wengi walifurahia sana uteuzi wa Makonda kuwa mwenezi na wamepigwa na butwaa baada ya kutenguliwa. Sasa unajiuliza ikiwa demokrasia ilifanya kazi ya kumteua iweje isitumike kumtengua, mpk inaacha malalamiko?
Hii ni ishara kuwa kuna kikundi cha watu wachache ama mtu mmoja (mwenyekiti) ndiye huamua nani awe ni nani ndani ya chama.
Pili, Jokate Mwegelo aliyeteuliwa Oktoba mosi 2023 kuwa Katibu wa UWT taifa, leo ametenguliwa na kuteuliwa kuwa katibu mkuu UVCCM. Je, Jokate amepwaya ktk nafsi hii kwa muda mchache kiasi hiki? Hamkumchunguza kabla ya kumteua?
Pamoja na uteuzi na utenguzi wa leo, bado nafasi ya katibu mkuu UWT taifa haijajazwa. Hivyo muda si mrefu utasikia mtu anateunguliwa halafu anateuliwa kujaza nafasi ya UWT taifa.
CCM bado kunafukuta, tutaendelea kushuhudia teuzi na tenguzi ndani chama hiki kikongwe.
Hawana ujanja huo. Kuna mtu kapewa peremende ndani ya kundi hilo imeandikwa dPM, atakuwa anatoa siri kwa watoto wa mjini.Ipo Siku hao washamba watageuza juu chini kuhusu hii nchi , kiufupi hii vita ya mgawanyiko ndio imeanza na hakuna wa kuizima ni suala la Muda tu , washamba waombe nao nchi yao
Hawa watoto wa mjini walizidiwa 2015 hata 2025 watazidiwa maana nchi itakuwa hoiHawana ujanja huo. Kuna mtu kapewa peremende ndani ya kundi hilo imeandikwa dPM, atakuwa anatoa siri kwa watoto wa mjini.