cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,669
- 5,034
Iyo programme ni nzur ila nahic ni ngumu cna uhakika lakin
Tueleweshe kidogo kuhusu iyo economics uliyopigaAcha upotoshaji wewe,mimi nmepiga Economics UDSM,na nilikua nishapata kazi kabla sijamaliza mitihani yangu ya mwisho (UE),mwaka wa tatu!,na nilikua sina ndugu yeyote kwenye system, Chief kupata kazi its all about plann na kujituma bila kuchagua sana kazi for the first time...