Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
mie ni mmoja wa watu waliowahi kuachwa kwa mbwembwe mackini ya Mungu....cjuagi mpaka kesho yule kaka y aliniacha, aliamua tu kaamka asubuhi mashetani yake yakaamua hivyo, baada ya mwaka kaja kuckia nipo kwenye maandalizi ya ndoa akanitafuta kwa nguvu zote akitaka msamaha, khaaa mdada wa watu nina ka mimba kangu kameshachomoza, ndoa ipo jikoni mkaka anaridi kwa speed zote...msxiiii...mpaka leo hii na uzee huu bado anasumbua nimsamahe japo nimpe nusu saa tuongee...ovyo kabisa.