Baby Come Back.........

mie ni mmoja wa watu waliowahi kuachwa kwa mbwembwe mackini ya Mungu....cjuagi mpaka kesho yule kaka y aliniacha, aliamua tu kaamka asubuhi mashetani yake yakaamua hivyo, baada ya mwaka kaja kuckia nipo kwenye maandalizi ya ndoa akanitafuta kwa nguvu zote akitaka msamaha, khaaa mdada wa watu nina ka mimba kangu kameshachomoza, ndoa ipo jikoni mkaka anaridi kwa speed zote...msxiiii...mpaka leo hii na uzee huu bado anasumbua nimsamahe japo nimpe nusu saa tuongee...ovyo kabisa.
 
mie ni mmoja wa watu waliowahi kuachwa kwa mbwembwe mackini ya Mungu....cjuagi mpaka kesho yule kaka y aliniacha, aliamua tu kaamka asubuhi mashetani yake yakaamua hivyo, baada ya mwaka kaja kuckia nipo kwenye maandalizi ya ndoa akanitafuta kwa nguvu zote akitaka msamaha, khaaa mdada wa watu nina ka mimba kangu kameshachomoza, ndoa ipo jikoni mkaka anaridi kwa speed zote...msxiiii...mpaka leo hii na uzee huu bado anasumbua nimsamahe japo nimpe nusu saa tuongee...ovyo kabisa.

Hongera kwa kugangamaa
 
Kwani Mkuu ni vitu vingapi umefanya kwa kuichia nature iendelee na utaratibu wake? Kwani ukigoma una uhakika gani hiyo kambi yako mpya ya wakimbizi (refugee camp) siku moja haitageuka jehanamu?

Nadhani ni kosa kubwa sana kujaribu kufanya full estimate ya risk-benefit katika haya mambo ya MMU ingawa hicho kitu unatakiwa kuwa nacho kwenye background!

My dear fellow babu:

Niko tayari kuumizwa kimapenzi na watu kumi kwa nyakati tofauti, kuliko niumizwe mara mbili na mtu mmoja.
 
My dear fellow babu:

Niko tayari kuumizwa kimapenzi na watu kumi kwa nyakati tofauti, kuliko niumizwe mara mbili na mtu mmoja.

Dah yaani wewe ukiacha unatafuta mwingine unajipumnzisha kule hurudi tena?
 
Dah yaani wewe ukiacha unatafuta mwingine unajipumnzisha kule hurudi tena?

You said it well.... Maisha ni mafupi, kwanini niwe mtumwa wa mapenzi....You do me, I do you.... Mi ni mtu ambaye si mwepesi sana wa kuyarudia matapishi yangu. Nimeshawahi kutendwa, nikateseka sana. Somo liliniingia vizuri, siwezi tena kurudia kosa.

Kupenda pasipopendeka ni sawa na kijichimbia kaburi lako mwenyewe......
 
Hongera kwa kugangamaa

asante mpenzi, lakini alinifundisha kugangamala kwenye mapenzi, yaani alinipa lesson ya kutosha kabisa kabisa...mpaka kesho anasemaga mie ndio mke wake aliechaguliwa na Mungu!...khaa wanaume bwana drama tupu.
 
Sure, but suppose you meet your former INFII at the bar with some sleeping rooms with comfy matresses while you are "hungry"?... You take a room and baby come back deal is signed...while thinking of the next INFII.....
But hiyo sidhani kama itakuwa ni Baby come back......kwani mliachana na huyo Infii kwa ugomvi??....nadhani labda iwe 'Baby, do you remember??' or ' Baby come to parrry'
 
Dont call my name Aleandroooooooooooo,if it did not work out b4 cn it work out out now?4me kama its over its over forI gud,without him there are more possibilities,thank God I mwachad him.I real have to meet a number of crue men in order to get the Mr right!after all ya nini malumbanoooooooooo?

That echo is loud and clear...Wish I could talk you...may be next time via PM ya mobile!!
 
asante mpenzi, lakini alinifundisha kugangamala kwenye mapenzi, yaani alinipa lesson ya kutosha kabisa kabisa...mpaka kesho anasemaga mie ndio mke wake aliechaguliwa na Mungu!...khaa wanaume bwana drama tupu.

Dadangu mnoko, hujambo mpenzi?

Hebu nambie waweza kuyarudia matapishi yako mwenyewe? Yaani jitu limekufanyia linayojua, unateseka hata halijali halafu linakuja na imani yake mpya ya baby come back...vikojoleo vimeisha mitaani huko?
 
You said it well.... Maisha ni mafupi, kwanini niwe mtumwa wa mapenzi....You do me, I do you.... Mi ni mtu ambaye si mwepesi sana wa kuyarudia matapishi yangu. Nimeshawahi kutendwa, nikateseka sana. Somo liliniingia vizuri, siwezi tena kurudia kosa.

Kupenda pasipopendeka ni sawa na kijichimbia kaburi lako mwenyewe......

sasa swity wangu hapo ndio tatizo lilipo, wewe umejitoa kwa mtu mpaka ukucha mwenzio yupo nawe kimaigizo mwisho wa maigizo ndio kinatokea usichokitegemea...haaaa wacha kabisa, unackia kabisa kama roho inaacha mwili lakini haiachi.
 
asante mpenzi, lakini alinifundisha kugangamala kwenye mapenzi, yaani alinipa lesson ya kutosha kabisa kabisa...mpaka kesho anasemaga mie ndio mke wake aliechaguliwa na Mungu!...khaa wanaume bwana drama tupu.

Wanawake hawa wa kileo wa ajabu sana juzi nimeshuhudia dada anataka kunywa sumu kisa mpenzi wake katangaza ndoa j'mosi wakati yeye wamezaa nae mtoto mmoja sasa sijui ndoa inalazimishwa? akaenda mbali amesema atawapiga risasi kanisani
 
But hiyo sidhani kama itakuwa ni Baby come back......kwani mliachana na huyo Infii kwa ugomvi??....nadhani labda iwe 'Baby, do you remember??' or ' Baby come to parrry'

Hahahaaa....suppose mlikosana na INFII kwa kuwa rafiki yako kakumegea...siyo baby come back mkirudiana "kwa bahati mbaya"?
 
You said it well.... Maisha ni mafupi, kwanini niwe mtumwa wa mapenzi....You do me, I do you.... Mi ni mtu ambaye si mwepesi sana wa kuyarudia matapishi yangu. Nimeshawahi kutendwa, nikateseka sana. Somo liliniingia vizuri, siwezi tena kurudia kosa.

Kupenda pasipopendeka ni sawa na kijichimbia kaburi lako mwenyewe......


Umeona sasa mzee mwenzangu enhhhhhh? Mbona nimesema toka mwanzo...The power of kemia (chemistry) ilikuwa zero. Hapo unategemea nini? Hakuna kitu labda madhara ya after-taste!
 
Dadangu mnoko, hujambo mpenzi?

Hebu nambie waweza kuyarudia matapishi yako mwenyewe? Yaani jitu limekufanyia linayojua, unateseka hata halijali halafu linakuja na imani yake mpya ya baby come back...vikojoleo vimeisha mitaani huko?

cjambo kaka yangu mpenzi...mie bwana afadhali hata ningejuaga yule bwana y ameniacha, imagine, tulikuwa kindoroko dinner, tumeagana vzr kabisa mapenzi moto moto, asubuhi unamcal hapokei, call call weee mpaka alijickia kutuma sms kwamba"naomba tuishie hapo tulipofikia"....kaka kidogo nidondoke, na ukituma sms bac kujua kulikoni hazijibiwi...haaaa aliniweza yule jamaa wallaah.....huyu hasameheki mpaka kiama kiama kabisa....hakuna kurudi nyuma kabisa!
 
Umeona sasa mzee mwenzangu enhhhhhh? Mbona nimesema toka mwanzo...The power of kemia (chemistry) ilikuwa zero. Hapo unategemea nini? Hakuna kitu labda madhara ya after-taste!

Sawa babu, hivi anayekupenda kwa maana ya kupenda anaweza kukutosa akamaliza mwaka mmoja ndo akakumbuka baby come back? Am telling you, kuna kitu alikuwa anakipata sasa kimemponyoka. Anarudi na imani yake mpya ya baby come back, ukiingia line, akapata kingine anakutenda tena. Hapa Babu naweza kuapa!
 
cjambo kaka yangu mpenzi...mie bwana afadhali hata ningejuaga yule bwana y ameniacha, imagine, tulikuwa kindoroko dinner, tumeagana vzr kabisa mapenzi moto moto, asubuhi unamcal hapokei, call call weee mpaka alijickia kutuma sms kwamba"naomba tuishie hapo tulipofikia"....kaka kidogo nidondoke, na ukituma sms bac kujua kulikoni hazijibiwi...haaaa aliniweza yule jamaa wallaah.....huyu hasameheki mpaka kiama kiama kabisa....hakuna kurudi nyuma kabisa!

Huyo alikuwa ni mla nyama za watu. Nakupongeza sana kwa kutomruhusu. Ila kuna cases nyingine bwana watu wanarudiana hadi nyie watazamaji mnashangaa. Ndiyo maana mimi nasema hii kemia ina kichaa!
 
Back
Top Bottom