Baby Come Back.........

Sure, but suppose you meet your former INFII at the bar with some sleeping rooms with comfy matresses while you are "hungry"?... You take a room and baby come back deal is signed...while thinking of the next INFII.....
i will hereby rest my case
 
Mh, i have a million questions hapa kabla ya kujua niseme nini
hiyo come back itakua ni ya ngapi?
what was the source of the problem before? una hakika haitajirudia?
vipi kuhusu trust?
what about opening the closet and reveal all the skeletons?
what about the time you were not together? will you forget? if not what would that mean to your come back fare?

Mh... knowing myself, i have never been exctied with any come and i tried once, it was as cold as ice i had to chapa lapa

This is it..................................
So Kamanda is it true that things never be the same as they were.........
 
Hawakukosea kukubatiza jina la Babu DC........busara zimelala hapa aksante sana . Najaribu tu kufikiria pale ambapo mliachana kwa ugomvi mkubwa na mikashfa ya kufa mtu huku wewe unaeombwa kucome back ukijaribu as much as possible kumrudisha na kumfanya aone jinsi gani unamhitaji but yet akakuona hufai sasa when you decide to move on ndo......bang!! anakuja na huo mziki!!

Even if you decide to take him/her back how do you learn to trust that person again to the extent ya wewe kuwa in peace kama mwanzo?
Mjukuu hapo kwenye RED "no turning back bana...."
 
Hawakukosea kukubatiza jina la Babu DC........busara zimelala hapa aksante sana . Najaribu tu kufikiria pale ambapo mliachana kwa ugomvi mkubwa na mikashfa ya kufa mtu huku wewe unaeombwa kucome back ukijaribu as much as possible kumrudisha na kumfanya aone jinsi gani unamhitaji but yet akakuona hufai sasa when you decide to move on ndo......bang!! anakuja na huo mziki!!

Even if you decide to take him/her back how do you learn to trust that person again to the extent ya wewe kuwa in peace kama mwanzo?

MJ1,

You just have to let the power of chemistry solve the problems for you. If no chemistry at all, you will never in the first place attempt to see such as useless person.

Emotional issue are never dealt with using philosophical theories. Unaweza kushangaa mtu aliyekusabibishia vidonda vya tumbo ukimwona unamwaga machozi ya furaha wakati mtu ambaye wala hakukufanyia kitu kibaya unatamani umwandikie kadi ya RIP! Tuache utani, haya mambo hayawezi kutungiwa sheria wala katiba! Kama mnabisha undeni kamati ya kupitia katiba zooote zilizopo muone kama kuna siku mtaweza kuandika mpya. Mkithubutu kuifanya hiyo kazi basi niletee bili zote nizilipe mimi!
 
............ okay Teamo I get you here.....loud and clear

Phwehh ni kazi kwa kweli ah................ sijui nifanye vasectomy ya kupenda lol??
ha ha ha ha!
FOLLOW YOUR HEART MAMA!hatuna principles za moja kwa moja kwenye hili swala
 
You feel good,coz amegundua umuhimu wako sasa!
Ukimpoteza tena kwa mara ya pili hilo litakuwa tatizo lako sasa sio yeye
Speaker ......aksante kwa kulielewa vema swali langu........yes sometimes kuna hicho kisauti deep inside kinakwambia ameona kwako ndo bora ndo mana kakurudia (hasa kama ulijua kuwa alipoondoka kwako alikwenda kwa mwingine) but hiyo sehemu ya pili kuwa yakiharibika ni wewe sio kuwa inategemea?? Coz mwingine anaweza kukucomisha back halafu akaona ni mchezo akaharibu tena akijua akija kukuomba ucome back tena utakubali?

I have once tried that you know.......mara mbili and things turned to be the same ...and even worse
 
Asprin ni kweli unachosema so I take it kuwa ni ngumu.how far will you be sure kuwa kilichotokea mwanzo hakitatokea tena? ni ngumu aisee

Heri uombe kwa Mungu kisitokee tena. Kikitokea tana darling.....utajuta kuzaliwa mwanamke... Sasa ili kukwepa kujuta kuzaliwa unaepuka kilichotokea kisitokee.

Mi nlishawahi kupenda na nikaumizwa na niliyempenda (naweza kukiri sijawahi kupenda vile) Ilinichukua zaidi ya miaka miwili kumtoa akilini huyu mtu. Halafu aje aniambie "Baby come back".....Eee Mungu pitisha mbali misiba isiyotarajiwa.
 
We kajukuu, angalia usije ukauguza kidonda cha kovu. Kinasumbua sana kupona.

Labda nikuulize: Mkarudiana halafu akakutenda tena kama awali.....baada ya muda akaja tena kuomba baby come back....Mi nashukuru bastola haziuzwi kariakoo, unaweza kuua kwa mapenzi asee.

Kwani Mkuu ni vitu vingapi umefanya kwa kuichia nature iendelee na utaratibu wake? Kwani ukigoma una uhakika gani hiyo kambi yako mpya ya wakimbizi (refugee camp) siku moja haitageuka jehanamu?

Nadhani ni kosa kubwa sana kujaribu kufanya full estimate ya risk-benefit katika haya mambo ya MMU ingawa hicho kitu unatakiwa kuwa nacho kwenye background!
 
Are you sure guys?
Hahahah Babu DC......unahisi hawa hawajawahi kupenda eeh!! They are just saying it lightly lol

Kuna wengine wanaacha then wapenzi wao wanaoa/olewa na baadae wanaibuka na kuanza kuwashawishi wawarudie wako tayari kuishi nao au kama wamepata wenzi wapya wao kutwa kucha oh please kumbuka tulikotoka, nilikosea please nisamehe .....huyo hujamjua vizuri kama mie na bla blaa kibao
 
Speaker ......aksante kwa kulielewa vema swali langu........yes sometimes kuna hicho kisauti deep inside kinakwambia ameona kwako ndo bora ndo mana kakurudia (hasa kama ulijua kuwa alipoondoka kwako alikwenda kwa mwingine) but hiyo sehemu ya pili kuwa yakiharibika ni wewe sio kuwa inategemea?? Coz mwingine anaweza kukucomisha back halafu akaona ni mchezo akaharibu tena akijua akija kukuomba ucome back tena utakubali?

I have once tried that you know.......mara mbili and things turned to be the same ...and even worse

Heri uombe kwa Mungu kisitokee tena. Kikitokea tana darling.....utajuta kuzaliwa mwanamke... Sasa ili kukwepa kujuta kuzaliwa unaepuka kilichotokea kisitokee.

Mi nlishawahi kupenda na nikaumizwa na niliyempenda (naweza kukiri sijawahi kupenda vile) Ilinichukua zaidi ya miaka miwili kumtoa akilini huyu mtu. Halafu aje aniambie "Baby come back".....Eee Mungu pitisha mbali misiba isiyotarajiwa.

Ni kweli kabisa ila inategemea kama chemistry ilisha-expire au bado!
 
Now you are talking like a real father and future babu!!
ofkooz in twenty years will be a babu.....!

the way i see my daughter,naona vijana watatoana macho kwel kwel...

mi nasubiri ng'ombe tu
 
Yeah hii inakuwa yaliyo pita si ndwele tugange yajayo.

Unakuwa umezunguka weeeeeeeeee hujapata vitu adimu kama kwako

Inatokea kila sehemu ukigusa unaona huyu anakaso hii huyu ile zinazidiana na kwako

Mwisho wa siku ukikubali unasahau kama ulikuwa kipindi cha mpito vitimbi vinaanza tena.

Mi watu wakiachana huwa sipendekezi warudiane au kutoa ushauri unaweza toa ushauri ukashangaa kesho unanuniwa.

Fide kaka yangu siku ingine ukiwa hujanywa unamwaga vyoints ...duh aksante umesomeka
 
Hahahah Babu DC......unahisi hawa hawajawahi kupenda eeh!! They are just saying it lightly lol

Kuna wengine wanaacha then wapenzi wao wanaoa/olewa na baadae wanaibuka na kuanza kuwashawishi wawarudie wako tayari kuishi nao au kama wamepata wenzi wapya wao kutwa kucha oh please kumbuka tulikotoka, nilikosea please nisamehe .....huyo hujamjua vizuri kama mie na bla blaa kibao

Ikishafika stage hiyo hakuna tena nafasi labda kama watu wanatamani kuendekeza uzinzi. Mimi naongelea wale ambao wako 100% available na level ya Chemistry iko above S.T.P (>72mmHg and 273K au nimekosea) !!!!
 
Heri uombe kwa Mungu kisitokee tena. Kikitokea tana darling.....utajuta kuzaliwa mwanamke... Sasa ili kukwepa kujuta kuzaliwa unaepuka kilichotokea kisitokee.

Mi nlishawahi kupenda na nikaumizwa na niliyempenda (naweza kukiri sijawahi kupenda vile) Ilinichukua zaidi ya miaka miwili kumtoa akilini huyu mtu. Halafu aje aniambie "Baby come back".....Eee Mungu pitisha mbali misiba isiyotarajiwa.
ulikuwa hujaoa si ndivyo?....
principle ile ile
OUT OF MARRIAGE.....no turning back
 
ofkooz in twenty years will be a babu.....!

the way i see my daughter,naona vijana watatoana macho kwel kwel...

mi nasubiri ng'ombe tu

Ngoja nisiseme mengi...Ila uwe unaangalia angalia vijana wa dot.com wanavyofanya mambo yao ili usije kupata un-expected vidonda vya tumbo au PB muda ukifika!!
 
Babu kwa nini mahawala huwa wanarudiana? ns si hawa walio oana kwa ndoa?


................ Fide sio kuwa kwa mahawara possibility ni ndogo zaidi ya wanandoa? Wanandoa ambao hawajaachana kwa talaka na walishakuwa na familia nadhani huwa kama ikitokea baby come back hujikuta wanarudiana kwa sababu anayeomba mwenzie acome back anapata support ya wengi wanaopenda kuwaona mnakuwa pamoja tena mfano wazazi, wazee watu wazima na hivyo wewe unayetaka kukataa inakuwia vigumu?? But kwa mahawara nadhani hii wanafanyaga tu si kwa kuwa mnapendana but ile hali ya ah tayari nlishamvuliaga na labda alikuwa ananipa vitu flani au hata ile starehe tu basi mtu anajiona hana cha kulose
 
sure brother......!
ANGALIZO:kwa mujibu wa hii post ya mj1....''MARRIAGE IS OUT OF QUESTION''
Teamo naomba ufafanuzi wa Marriage is out of question- does it mean kama mwenzi ameshaolewa ni marufuku kumcomisha back au ni marufuku kwa waliokuwa wameoana kisha wakatengana kucomishana back??
 
Dont call my name Aleandroooooooooooo,if it did not work out b4 cn it work out out now?4me kama its over its over forI gud,without him there are more possibilities,thank God I mwachad him.I real have to meet a number of crue men in order to get the Mr right!after all ya nini malumbanoooooooooo?
 
Back
Top Bottom