Babu wa loliondo - fursa za biashara

Mgombezi

JF-Expert Member
Mar 23, 2009
610
178
Nimekuwa nikifuatilia maendeleo ya watu wanaoendelea kumiminika huko Loliondo na nimeanza kuziona fursa mbalimbali za kibiashara ambazo zikitumika vizuri zinaweza kutatua matatizo yanayojitokeza kwa sasa na vile vile kuinua uchumi wa wakazi wa maeneo hayo.

USAFIRI: Badala ya kila mtu kujiamulia kwenda mwenyewe huko, kungeweza kujitokeza kampuni mojawapo linalohusiana na usafirishaji (haswa hayo yanyofanya kazi za utalii) na kuratibu safari za huko; ambapo watu watahitajika kufanya booking na kutakuwa na idadi ya watu maalum ambao wataweza kwenda na kuhudumiwa kwa siku. Kutaweza kuwa na option ya wale watakaotaka kwenda na magari yao bali kuwe na utaratibu wa kujua idadi ya magari kwa siku na yote haya yataweza kuratibiwa na hii kampuni. Jambo la msingi ni kwa kampuni husika kuwasiliana na BABU aweze kutoa ridhaa ya huo uratibu.

MALAZI NA CHAKULA: Kutengeneza tents na wale wanaofanya catering services wanaweza kuhamia hilo eneo na kuwahudumia watu kwa chakula.

Fursa hii inaweza kuangaliwa kwa mapana zaidi!! (BUSINESS OPPURTUNITY), watu wa Arusha itumieni fursa hii vizuri.
 
Babu mwenyewe sina uhakika na uwepo wake wa kudumu (sustainability) labda ndio maana wajasiriamali hajaona umuhimu wa kuwekeza hapo, lakini kwa wale mlio karibu na eneo hilo, chukua ushauri huo, fanyia kazi.
 
Nimeifikiria saana tangu jana usiku .... opportunity nzuri. Hata kama inaweza iwe ya msimu, bado utakuwa umerecoup costs zako na kutengeneza faida safi sana.
Arusha.. go for it!
 
thats right,ila jua hii ni bongo,the moment kukiwa na system or cordination dawa ya babu itaacha kufanya kazi.kwani watu wataweza ku comunicate na cross referencing ya effectiveness ya hayo maji ya babu,ukweli utajulikana then deal la babu litakufa.
kumbuka watu wanaenda kivyao vyao,so hatujui wangapi wametibiwa na kupona maradhi yao. e.g DECI ilipoanza kuwa rasmi na kujulikana ndo hukawa mwisho wa deci

on the other hand,wazo ni zuri na watu wa arusha wangeweza kuona na hii fursa na kuweka TENTS and toilet facilities kwa wageni hawa.
 
thats right,ila jua hii ni bongo,the moment kukiwa na system or cordination dawa ya babu itaacha kufanya kazi.kwani watu wataweza ku comunicate na cross referencing ya effectiveness ya hayo maji ya babu,ukweli utajulikana then deal la babu litakufa.
kumbuka watu wanaenda kivyao vyao,so hatujui wangapi wametibiwa na kupona maradhi yao. e.g DECI ilipoanza kuwa rasmi na kujulikana ndo hukawa mwisho wa deci

on the other hand,wazo ni zuri na watu wa arusha wangeweza kuona na hii fursa na kuweka TENTS and toilet facilities kwa wageni hawa.

Yeah it's survival of the fastest not the fittest, hii ni 21 century 'wahi' kabla 'hujachelewa'
 
Back
Top Bottom