Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Kutokana na kutangaza kuwa Mchungaji Mwasapile wa Loliondo amekusanya shilingi milion 50, hivyo ametibu wagonjwa laki tano.
Hii inaweza kuwa record ya ajabu ya tabibu kutibu watu wengi zaidi kwa kipindi kifupi katika historia ya dunia.
Hii inaweza kuwa record ya ajabu ya tabibu kutibu watu wengi zaidi kwa kipindi kifupi katika historia ya dunia.