Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
hapa ndipo ulipo udhaifu wetu mkubwa kwenye vyombo vya sheria, haiingii akilini kabisa kwa watu waliohukumiwa kifungo cha maisha kwa kosa moja, lakini baada ya miaka saba wngine wakaonekana hawakuwa na hatia?, is very shame, hii ni kesi ya kutunga kwa asilimia mia