ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Nimekuwa natafakari sana, na nimekuwa nasoma maandiko mbalimbali kuhusu kesi ya Babu Seya, mengi yamesemwa, mengi yameandikwa.
Swali langu ni kwa hawa mashahidi waliojenga hoja kwa upande wa mashtaka, wako wapi na wanaendelea vipi?
Tanzania ni ndogo sana na jamii forums iko kila eneo.
Nawasilisja
Swali langu ni kwa hawa mashahidi waliojenga hoja kwa upande wa mashtaka, wako wapi na wanaendelea vipi?
Tanzania ni ndogo sana na jamii forums iko kila eneo.
Nawasilisja