Joss
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 765
- 191
Kutangazwa kwa mapato yaliyotokana na dawa ya Mch Mwasapile kunaonesha kuwa mgawanyo wake ni kama ifuatavyo :
Kanisa ni sh 200 kati ya 500 = 40%
Mch Mwasapile (Babu) 100 kati ya 500 = 20%
Wasaidizi wanaomsaidia kuchimba dawa na mambo mengine yanachukua 40% iliyobaki.
Swali ninalojiuliza, ni kwa nini kanisa lichukue kiasi kikubwa kuliko babu, ikizingatiwa kuwa kabla ya kuanza kutoa tiba babu alikuwa amestaafu, inamaana kuwa taratibu za kustaaafu zilifuatwa. Alipoanza kutoa tiba akaondolewa ustaafu wake na kurudishwa kazini. Hapo si inaonesha kuwa kanisa lililenga fedha itakayopatikana na si huduma ya kichungaji ya Babu?
Source: IPP Media.
Kanisa ni sh 200 kati ya 500 = 40%
Mch Mwasapile (Babu) 100 kati ya 500 = 20%
Wasaidizi wanaomsaidia kuchimba dawa na mambo mengine yanachukua 40% iliyobaki.
Swali ninalojiuliza, ni kwa nini kanisa lichukue kiasi kikubwa kuliko babu, ikizingatiwa kuwa kabla ya kuanza kutoa tiba babu alikuwa amestaafu, inamaana kuwa taratibu za kustaaafu zilifuatwa. Alipoanza kutoa tiba akaondolewa ustaafu wake na kurudishwa kazini. Hapo si inaonesha kuwa kanisa lililenga fedha itakayopatikana na si huduma ya kichungaji ya Babu?
Source: IPP Media.