TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Mi nina wasi wasi kama hiyo kweli itaendelea baada ya uchaguzi, mbona kazi inaonekana magumashi!!!
mechelewa sana hii barabara....50 years fater independence :confused2:
kuna daraja muhimu sana pale kolo (kondoa) lika kama miaka mitano sasa tangu livunjie... kolo ni antiquity na world cultural heritage site na daraja hilo linaunganisha cape to cairo, naomba picha zake mkuu tandalaone
Mi nina wasi wasi kama hiyo kweli itaendelea baada ya uchaguzi, mbona kazi inaonekana magumashi!!!
mechelewa sana hii barabara....50 years fater independence :confused2:
kuna daraja muhimu sana pale kolo (kondoa) lika kama miaka mitano sasa tangu livunjie... kolo ni antiquity na world cultural heritage site na daraja hilo linaunganisha cape to cairo, naomba picha zake mkuu tandalaone
Mi nina wasi wasi kama hiyo kweli itaendelea baada ya uchaguzi, mbona kazi inaonekana magumashi!!!
Why this time?
Hiyo barabara ikikamilika itakuwa safi sana...Isije ikaishia njia panda GE ilipita!
Umesema vizuri.