Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 5,972
- 3,830
upotoshaji ni sehemu ya GREAT THINKERS......ZIMBABWE ILIPATA UHURU LINI?........kama ni OKELLO mbona alipata chake akasepa......!
BIBI TITI,SYKES na wengine umewajuaje kama si kwamba wamo katika historia hiyo hiyo....? ukiona uwanjani mchezaji anatajwa sana si kwamba wachezaji wengine hawapo bali mchango wa mchezaji huyo katika timu unaonekana....MESSI....MWAMEJA...KASEJA....S GERRALD n.k
BIBI TITI,SYKES na wengine umewajuaje kama si kwamba wamo katika historia hiyo hiyo....? ukiona uwanjani mchezaji anatajwa sana si kwamba wachezaji wengine hawapo bali mchango wa mchezaji huyo katika timu unaonekana....MESSI....MWAMEJA...KASEJA....S GERRALD n.k