Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 353
Jioni hii nimemuona baba riz akitumika kuadvertise tangazo la TRA....eti wananchi wenzangu toeni kod kwa maendeleo! Mwe! Me nimebaki na mawazo mengi, je ni ameishiwa kiasi hcho..? Hapakuwepo na watu wengne wa kuadvertiz mpaka rais? Au vile apenda uza sura? Me naona Hii ni kama baba kuingia jikoni kupika hali mke na watoto wako around tena hawaumwi wala hawana tatizo...!