Baba Mwenye Uhusiano wa Kimapenzi na Binti Yake Atupwa Jela

kilimasera

JF-Expert Member
Dec 2, 2009
3,068
268
Baba na binti yake ambao walikuwa kwenye penzi zito kwa kipindi cha miaka mitatu, wametupwa jela baada ya kupatikana na hatia ya kuingia kwenye uhusiano kinyume na maadili ya jamii.
Andrew Butler mwenye umri wa miaka 47 ambaye alikuwa akila uroda na binti yake Nicola Yates mwenye umri wa miaka 26, amehukumiwa kwenda jela miezi 10.

Mahakama ya mjini Birmingham ilimuona Andrew na binti yake Nicola wote wana hatia ya kuingia kwenye uhusiano huo haramu uliodumu kwa miaka mitatu wakiishi pamoja kama mtu na hawara yake.

Andrew aliachana na mama yake Nicola mwaka 1992 wakati huo Nicola akiwa na umri wa miaka sita.

Alipokuwa na umri wa miaka 20 Nicola alianza kumtafuta baba yake kwa kutumia mtandao wa rekodi za familia nchini Uingereza unaoitwa Genes Reunited.

Baada ya kufanikiwa kumpata baba yake, Nicola alikuwa karibu zaidi na baba yake na haukupita muda mrefu ukaribu huo uligeuka uhusiano haramu wa kimapenzi kati ya baba na binti yake.

Hii ilikuwa ni mara ya pili wawili hawa kufikishwa mahakamani kwa kosa kama hili.

Mara ya kwanza walinaswa wakiwa na uhusiano huu haramu miaka minne iliyopita ambapo Andrew alihukumiwa kwenda jela miezi minne wakati Nicola alihukumiwa kufanya kazi ngumu za kuitumikia jamii kwa jumla ya miezi 18.

Lakini mwaka 2008 baba huyo na binti yake waliuamsha tena moto wa mapenzi na kuanza kuishi pamoja.

Nicola alijaribu kufanya uhusiano huu uwe wa siri akijaribu kufanya kila awezalo ili familia yake isijue kinachoendelea.

Lakini dada yake siku moja aligundua picha za ngono alizopiga Nicola na baba yake zilizokuwa kwenye simu na ndipo alipomuonyesha mama yao ambaye alihamaki kwa kusema "Huyu alikuwa mume wangu wa zamani".

Akitoa hukumu, jaji wa kesi hiyo alisema "Najua kuwa mko kwenye uhusiano uliojaa mapenzi ya kweli, lakini uhusiano huu ni kinyume na maadili ya jamii".

"Ni uhusiano usiokubalika mbele ya jamii kwa sababu ambazo zinaeleweka", aliongeza jaji huyo.

Wakati Andrew akihukumiwa kwenda jela miezi 10, Nicola alihukumiwa kwenda jela wiki 26 lakini kifungo hicho kilibadilishwa na kuwa kifungo cha nje cha miaka miwili.
 
Tena nasikia kuwa huyo faza ni dr. kwa taaluma. nilijua wenzetu wameelimika kumbe ni uozo mtupu.
 
Sioni kosa hapo, angekuwa ni mama na kijana wake sawa lkn kwa baba na binti yake huenda hata hamzai, cha msingi wakapime DNA kwanza wasikurupuke kuwatupa mahakamani.
 
Kama ndoa ya jinsia moja wameruhusu na hiyo kitu waruhusu basi, wenyewe si wana akili sana!
 
Hawa jamaa wana laana kwa kweli. Sasa wanamfunga miezi kumi ili iweje si bora wangemuachia tu..
 
Kwani walipima DNA wakathibitisha kuwa huyo binti huyo ni baba yake? je kama mama alim'bambika huyo jamaa? jamaa nae akaamua ajilie mazao yake?? haya yaishe tu maana naona mambo mengine hata shetani anayaogopa
 
duh huu sasa ndio mwisho wa dunia'
Baba na binti yake ambao walikuwa kwenye penzi zito kwa kipindi cha miaka mitatu, wametupwa jela baada ya kupatikana na hatia ya kuingia kwenye uhusiano kinyume na maadili ya jamii.
Andrew Butler mwenye umri wa miaka 47 ambaye alikuwa akila uroda na binti yake Nicola Yates mwenye umri wa miaka 26, amehukumiwa kwenda jela miezi 10.

Mahakama ya mjini Birmingham ilimuona Andrew na binti yake Nicola wote wana hatia ya kuingia kwenye uhusiano huo haramu uliodumu kwa miaka mitatu wakiishi pamoja kama mtu na hawara yake.

Andrew aliachana na mama yake Nicola mwaka 1992 wakati huo Nicola akiwa na umri wa miaka sita.

Alipokuwa na umri wa miaka 20 Nicola alianza kumtafuta baba yake kwa kutumia mtandao wa rekodi za familia nchini Uingereza unaoitwa Genes Reunited.

Baada ya kufanikiwa kumpata baba yake, Nicola alikuwa karibu zaidi na baba yake na haukupita muda mrefu ukaribu huo uligeuka uhusiano haramu wa kimapenzi kati ya baba na binti yake.

Hii ilikuwa ni mara ya pili wawili hawa kufikishwa mahakamani kwa kosa kama hili.

Mara ya kwanza walinaswa wakiwa na uhusiano huu haramu miaka minne iliyopita ambapo Andrew alihukumiwa kwenda jela miezi minne wakati Nicola alihukumiwa kufanya kazi ngumu za kuitumikia jamii kwa jumla ya miezi 18.

Lakini mwaka 2008 baba huyo na binti yake waliuamsha tena moto wa mapenzi na kuanza kuishi pamoja.

Nicola alijaribu kufanya uhusiano huu uwe wa siri akijaribu kufanya kila awezalo ili familia yake isijue kinachoendelea.

Lakini dada yake siku moja aligundua picha za ngono alizopiga Nicola na baba yake zilizokuwa kwenye simu na ndipo alipomuonyesha mama yao ambaye alihamaki kwa kusema "Huyu alikuwa mume wangu wa zamani".

Akitoa hukumu, jaji wa kesi hiyo alisema "Najua kuwa mko kwenye uhusiano uliojaa mapenzi ya kweli, lakini uhusiano huu ni kinyume na maadili ya jamii".

"Ni uhusiano usiokubalika mbele ya jamii kwa sababu ambazo zinaeleweka", aliongeza jaji huyo.

Wakati Andrew akihukumiwa kwenda jela miezi 10, Nicola alihukumiwa kwenda jela wiki 26 lakini kifungo hicho kilibadilishwa na kuwa kifungo cha nje cha miaka miwili.
 
Hapa t-zii wapo wanaobaka watoto wa wake zao, yaani mama kaja na katoto dingi anakula kuku na yai!! Af kuna ambao wapo kwenye malavidavi ya nguvu baba na mwanae wa kumtotoa af kuna wale wanawarubuni watoto zao na kuwatishia kuwauwa shenzi hiv skuhz kinadadapoa wapo tele kisa cha kumtaka mwanao haswa kinakuwa nini? Kaka c kiherehere cha kiumeni?!!!!
 
Njombe kuna mmoja kazaa na binti yake na wanaishi pamoja. yaani dulia ilipofikia. ukisoma katika Bible Mambo ya nyakati sura 18 imekataza haya mambo na ni laana mbele za Mwenyezi Mungu
 
Mimi mwenyewe nime experience hiyo nlikua na demu wangu secondary wakati yuko form2 mi niko form4 nakuja kustuka kwamba dingi yake anamega baada ya kwenda mitaa ya kwao ndo mshikaji flani akanistua uyo demu anatembea na dingi yake tokea yuko std 6 kwakweli nilipagawa ila sikua na jinsi niliamua kumuacha kistaarabu bila yeye kujua nimetambua hilo ila demu shuleni alikua poor sana alikua anashika nafasi za mwisho nikaja kugundua ali athirika kisaikolojia...dingi yake ni mmachame na ni luteni kanali..anaishi mtoni mtongani-madafu
 
Back
Top Bottom