Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,707
- 46,281
Uzi ufungwe sasaNdo ipo hivyo. Mwanaume asingeweza kuja andika huu uzi.
Uzi ufungwe sasaNdo ipo hivyo. Mwanaume asingeweza kuja andika huu uzi.
😅😅Kwa sbb ni muongo hivyo watu wanapewa tahadhari. Baadae unaweza ona wameweka 'taperi sugu'
Unahis mwana analiwa au?Kwa hiyo unaishi na baba mkwe tu
I wonder
Wataalam,
Huyu baba mkwe jau kichizi, anazingua kinasti.
Jana nilimtonya mpango wangu wa kutafuta ghetto nihame kwake mshahara ukitoka tu, akaja juu sana.
Eti anasema "ooh unafanya hivyo Kwasababu ya ile ishu ya luku?, unataka utengeneze picha kwa Binti yangu kuwa ninakufukuza? Ww kaa hapo Kila huduma unapata unataka kwenda wapi?"
Kawa mkali sana na amesisitiza sana nisiondoke, mpaka nimeanza kuhisi anamuogopa sana Binti yake,huenda ndo ndago yake.
Mpaka nmeanza kuunganisha matukio ya zamani, Yani Kila kitu Binti asemacho huyu mshua anafanya.
Sasa Mimi plan yangu ni kwamba mshahara ukitoka tu, mi natoroka hapa, nitaiba Kitanda na godoro tu vingine vyote ntawaachia yeye na binti yake, sitaki mchezo Mimi.
Liwalo na liwe, siogopi Cha usalama wa Taifa wala usalama wa nini kmmk.
Itakuwa amesahau kama alisema hivyo - kama yeye ni mwalimu wa chuo kikuu, ndio matatizo ya kusema uongo - ni lazima uwe na akili sana ya kukumbuka vitu unavyoongopa - ukisahau tu; unachanganya madawa.Wewe ndo ulisema ni mwalimu wa chuo kikuu? Unasema unataka uibe kitanda?
Uliwezaje kwenda kuishi ukweni?!Kwann
Punguza hasra eeeeebooo tuliaaaaa nasema tuliaaaa hii ndo jf kboko ya watukutu tuliaaaa umeleta tatizo mezan subir tulifanyie kaziWataalam,
Huyu baba mkwe jau kichizi, anazingua kinasti.
Jana nilimtonya mpango wangu wa kutafuta ghetto nihame kwake mshahara ukitoka tu, akaja juu sana.
Eti anasema "ooh unafanya hivyo Kwasababu ya ile ishu ya luku?, unataka utengeneze picha kwa Binti yangu kuwa ninakufukuza? Ww kaa hapo Kila huduma unapata unataka kwenda wapi?"
Kawa mkali sana na amesisitiza sana nisiondoke, mpaka nimeanza kuhisi anamuogopa sana Binti yake,huenda ndo ndago yake.
Mpaka nmeanza kuunganisha matukio ya zamani, Yani Kila kitu Binti asemacho huyu mshua anafanya.
Sasa Mimi plan yangu ni kwamba mshahara ukitoka tu, mi natoroka hapa, nitaiba Kitanda na godoro tu vingine vyote ntawaachia yeye na binti yake, sitaki mchezo Mimi.
Liwalo na liwe, siogopi Cha usalama wa Taifa wala usalama wa nini kmmk.
Kuna watu hasara humu ndani! Halafu anajitamba eti anamtoroka!Kwa hiyo unaishi na baba mkwe tu
I wonder
Yaani nimeona niishie hapo tu maana ningesema mengi kwa mujibu wa habari zake hiziKuna watu hasara humu ndani! Halafu anajitamba eti anamtoroka!
Mimi sijasema ila vijana wenzake watamalizia hapoUnahis mwana analiwa au?
Sasa si utulie ulinde nyumbaHuyu Dem sijamuoa, ni Dem tu ila ninaishi kwenye nyumba alopewa na baba ake.
Dem saivi Yuko Ulaya lakini.