Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Mmmh hii inaonyesha vipi familia za kiTZ bado zinaamini ushirikina. Nimesikitika!
Kwani wewe huamini ushirikina?
Mmmh hii inaonyesha vipi familia za kiTZ bado zinaamini ushirikina. Nimesikitika!
Upo sahihi kwa maisha ya kijijini lakini inapendeza inapokuwa watoto wote mnafanya hizo kazi kwa pmj na mnapokuwa watoto wengi na kazi hizo ukafanya ww pekee yako huu ni unyanyasaji ndivyo tunaoulaanimzee kasema kweli kwa maisha ya mwanza hasa kijijini. Mimi pia nimechunga sana ng'ombe, mbuzi, kuvua samaki, kutengeneza matofali na kuuza kuni pamoja na mambo mengine magumu nikiwa nalelewa kwa baba mdogo. sijui na mimi nimlipue. but hata baba zetu walipokuwa wanaenda kurudia darasa la saba vijiji vya jirani hali ilikuwa hiyo hiyo, si kunyanyaswa ndo life style ya kijijini hasa ukiwa mdogo katika iyo familia
Baba Kanumba yupo mapenzini na mke mdogo. ndiyo sababu anamtetea na kumponda Mama Yake Kanumba. Siyo wewe tu Kanumba wazazi wengi wakishatelekeza familia za mwanzo hupenda sana kuitwisha lawama familia ya mwanzo. hasa kina mama. mtoto akikosea oh mama yake hamlei vizuri na kadhalika. Ila nakushauri Kanumba achana na maisha yako ya Zamani huko kwa Baba yako. Songa mbele jitahidi kuiboresha hadhi yako na zidi kumpenda na kumsaidia huyu Baba.
lKanumba mambo ya familia yako leo umeweka hadharani inakusaidia nini?mshukuru mungu unaishi na wazazi wako wanaishi na kama walikutenda vibaya si busara kuwadhalilisha wazazi,mimi kama mzazi sijapenda ulichofanya,mwombe mzee msamaha na wala usishindane naye
sipendi baba na mtoto kudhalilishana hadharani