Baadhi ya wanaojiita "watumishi wa Mungu" wadhibitiwe ni wezi kabisa kwa mgongo wa Imani

TheMnyonge

JF-Expert Member
Mar 25, 2022
739
1,871
Nimekaa na kutafakari sana baada ya kukutana na mama mmoja maeneo ya mitaa ya katikati ya mji wa Morogoro.

Huyu mama ana mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka kati ya 15-17, kwa maelezo ya mama yake ni kwamba kijana wake amelazimika kuacha shule kutokana na kukumbwa na maradhi yasiyoeleweka.

Kkufuatia hali hiyo, niliingiwa na roho ya huruma na kuamua kufuatilia uhalisia wa tatizo na kumsikiliza yule mama. Baada ya maelezo yake nilimchukua na kwenda naye mpaka shule anayosoma mtoto, nikastaajabu kuona matokeo ya mtoto ni mazuri mno, (yupo kidato cha tatu).

Sasa katika kujikwamua na hali ya mtoto wake, alienda kwa mtumishi anaitwa FRANK KILAWA, huyu jamaa alimwambia mama kwamba, "mtoto wako ametupiwa majini 4 na wanataka kumchukua msukule" akamwambia akichelewa kutekeleza maagizo aliyopewa basi soon atakuwa msukule!

Maelekezo aliyompa ni kwamba ili mtoto apone, huyo mama anatakiwa kununua pakiti kumi za chumvi (zile ndogo kabisa, zinauzwa sh.200 dukani) lakini huyu mchungaji analazimisha huyu mama anunue kwake, na yeye anauza pakiti moja sh.10,000/=

Hivyo ili mtoto aombewe, analazimika kutafuta sh. Laki moja! Hapa ndipo paliponifikirisha zaidi, hivi kweli mtu anayejiita "mtumishi wa Mungu" anaombea watu masikini kwa gharama kubwa kiasi hiki?

N'a mtu asiyekuwa na pesa hapati huduma ya maombezi? Huyu ni Mungu wa aina gani?

Pamoja na kwamba wanaokwenda wanakuwa na uelewa mdogo, wanachoangalia ni namna ya kutatua changamoto zinazowakabili tu, lakini kuna haja ya kutafuta udhibiti wa hawa watu kwa ustawi wa jamii.
 
Kwan umesahau wajinga ndio waliwao?

Je huyo muMama si ameridhia mwenyewe bila shuruti na kwa Imani thabiti kununua hizoepaketi 10 za chumvi kwa laki1 ili mwanae apone?

Mbona unaijaribu Imani ya huyo Mama?

sasa, ukiitwa pepo utakasirika?
kuepuka hilo ni lazima umsaidie huyo mtoto tatizo lake na kwakweli uilinde Imani ya huyo muMama,
vinginevyo watakulaumu mno tatizo lao likiendelea kuwatesa na kuwasulubisha!!
Usichoke, usikate tamaa ukukutana na jaribu la fikra na maswali kama hayo hapo juu.

Tuombe!!!
Baba katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth, ninaomba baraka na neema zaka kwa watu hawa wasumbukao kutafuta uponyaji wako kwanamna mbalimbali.
Ee Mungu mponyaji wa wagonjwa na mfariji wa wanyonge, mbariki na huyu msamaria, mpe ustahimilivu anapojitolea kutafuta suluhu ya mahangaiko ya famila hii.
Ni katika jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, na ikawe sawasawa na mapenzi ya Mungu.
Amen.
 
Umasikini, ujinga na maradhi ndiyo uchochoro wa matapeli kujipatia kipato kwa watu wenye changamoto hizo. Huwezi kudhibiti masuala ya imani kwa mujibu wa katiba ya nchi kila mtu yuko huru kuamini imani aitakayo. Kikubwa ni kufundisha kweli ili watu wawatambue matapeli hao. Wengine hujifanya ni waganga hodari wa kienyeji nao hutapeli watu wengi tu. Elimu ni silaha kubwa kupambana na umasikini, ujinga na maradhi
 
Kwan umesahau wajinga ndio waliwao?

Je huyo muMama si ameridhia mwenyewe bila shuruti na kwa Imani thabiti kununua hizoepaketi 10 za chumvi kwa laki1 ili mwanae apone?

Mbona unaijaribu Imani ya huyo Mama?

sasa, ukiitwa pepo utakasirika?
kuepuka hilo ni lazima umsaidie huyo mtoto tatizo lake na kwakweli uilinde Imani ya huyo muMama,
vinginevyo watakulaumu mno tatizo lao likiendelea kuwatesa na kuwasulubisha!!
Usichoke, usikate tamaa ukukutana na jaribu la fikra na maswali kama hayo hapo juu.

Tuombe!!!
Baba katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth, ninaomba baraka na neema zaka kwa watu hawa wasumbukao kutafuta uponyaji wako kwanamna mbalimbali.
Ee Mungu mponyaji wa wagonjwa na mfariji wa wanyonge, mbariki na huyu msamaria, mpe ustahimilivu anapojitolea kutafuta suluhu ya mahangaiko ya famila hii.
Ni katika jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, na ikawe sawasawa na mapenzi ya Mungu.
Amen.
AMEN!
 
Kwan umesahau wajinga ndio waliwao?

Je huyo muMama si ameridhia mwenyewe bila shuruti na kwa Imani thabiti kununua hizoepaketi 10 za chumvi kwa laki1 ili mwanae apone?

Mbona unaijaribu Imani ya huyo Mama?

sasa, ukiitwa pepo utakasirika?
kuepuka hilo ni lazima umsaidie huyo mtoto tatizo lake na kwakweli uilinde Imani ya huyo muMama,
vinginevyo watakulaumu mno tatizo lao likiendelea kuwatesa na kuwasulubisha!!
Usichoke, usikate tamaa ukukutana na jaribu la fikra na maswali kama hayo hapo juu.

Tuombe!!!
Baba katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth, ninaomba baraka na neema zaka kwa watu hawa wasumbukao kutafuta uponyaji wako kwanamna mbalimbali.
Ee Mungu mponyaji wa wagonjwa na mfariji wa wanyonge, mbariki na huyu msamaria, mpe ustahimilivu anapojitolea kutafuta suluhu ya mahangaiko ya famila hii.
Ni katika jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, na ikawe sawasawa na mapenzi ya Mungu.
Amen.

Amen
 
Nimekaa na kutafakari sana baada ya kukutana na mama mmoja maeneo ya mitaa ya katikati ya mji wa Morogoro.

Huyu mama ana mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka kati ya 15-17, kwa maelezo ya mama yake ni kwamba kijana wake amelazimika kuacha shule kutokana na kukumbwa na maradhi yasiyoeleweka.

Kkufuatia hali hiyo, niliingiwa na roho ya huruma na kuamua kufuatilia uhalisia wa tatizo na kumsikiliza yule mama. Baada ya maelezo yake nilimchukua na kwenda naye mpaka shule anayosoma mtoto, nikastaajabu kuona matokeo ya mtoto ni mazuri mno, (yupo kidato cha tatu).

Sasa katika kujikwamua na hali ya mtoto wake, alienda kwa mtumishi anaitwa FRANK KILAWA, huyu jamaa alimwambia mama kwamba, "mtoto wako ametupiwa majini 4 na wanataka kumchukua msukule" akamwambia akichelewa kutekeleza maagizo aliyopewa basi soon atakuwa msukule!

Maelekezo aliyompa ni kwamba ili mtoto apone, huyo mama anatakiwa kununua pakiti kumi za chumvi (zile ndogo kabisa, zinauzwa sh.200 dukani) lakini huyu mchungaji analazimisha huyu mama anunue kwake, na yeye anauza pakiti moja sh.10,000/=

Hivyo ili mtoto aombewe, analazimika kutafuta sh. Laki moja! Hapa ndipo paliponifikirisha zaidi, hivi kweli mtu anayejiita "mtumishi wa Mungu" anaombea watu masikini kwa gharama kubwa kiasi hiki?

N'a mtu asiyekuwa na pesa hapati huduma ya maombezi? Huyu ni Mungu wa aina gani?

Pamoja na kwamba wanaokwenda wanakuwa na uelewa mdogo, wanachoangalia ni namna ya kutatua changamoto zinazowakabili tu, lakini kuna haja ya kutafuta udhibiti wa hawa watu kwa ustawi wa jamii, vinginevyo masikini na wanyonge wenye upofu wa imani wataangamia!
 
Mimi nilimpeleka mama yangu kwa Frank Kilawa wakasema nitoe laki 5 ili mama yangu aweze kuonana naye.
 
Hata huyu anayejiita Aposto bulludoza naye ni tapeli tu, Huwa nasikiliza shuhuda za waumini wake nabaki kushangaa anaweza kuhadaa watu kiasi hiki na serikali Iko kimya?
 
Hata huyu anayejiita Aposto bulludoza naye ni tapeli tu, Huwa nasikiliza shuhuda za waumini wake nabaki kushangaa anaweza kuhadaa watu kiasi hiki na serikali Iko kimya?
Wanasema mambo ya dini hayapaswi kuingiliwa na serikali,lakini kwa hali ilivyo nyuma ya dini Kuna UTAPELI mwingi mnoooo
 
Kwan umesahau wajinga ndio waliwao?

Je huyo muMama si ameridhia mwenyewe bila shuruti na kwa Imani thabiti kununua hizoepaketi 10 za chumvi kwa laki1 ili mwanae apone?

Mbona unaijaribu Imani ya huyo Mama?

sasa, ukiitwa pepo utakasirika?
kuepuka hilo ni lazima umsaidie huyo mtoto tatizo lake na kwakweli uilinde Imani ya huyo muMama,
vinginevyo watakulaumu mno tatizo lao likiendelea kuwatesa na kuwasulubisha!!
Usichoke, usikate tamaa ukukutana na jaribu la fikra na maswali kama hayo hapo juu.

Tuombe!!!
Baba katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth, ninaomba baraka na neema zaka kwa watu hawa wasumbukao kutafuta uponyaji wako kwanamna mbalimbali.
Ee Mungu mponyaji wa wagonjwa na mfariji wa wanyonge, mbariki na huyu msamaria, mpe ustahimilivu anapojitolea kutafuta suluhu ya mahangaiko ya famila hii.
Ni katika jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, na ikawe sawasawa na mapenzi ya Mungu.
Amen.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utafiti wangu mdogo unaonesha wanawake ndiyo wahanga wakuu wa hawa watumishi hewa wa Mungu.

Ni aghalabu kuona mwanaume anaingia kirahisi kwenye mtego. Ila wanawake, huwa wananasa ndani ya dakika 0 tu, na wanapigwa vizuri kabisa.
 
Back
Top Bottom