Gustave k alain
Member
- Jul 23, 2020
- 5
- 2
mimi na fikiria ku fanya biashara yaku agiza nguo na vitu kadhaa vidogo vidogo kutoka china ila sija jua ni mtandao gani nitumie ili nipate vitu vizuri na kwa bei nafuu.Wewe unafikiri kufanya biashara gani na una mtaji kiasi gani?