Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

Me nafkiri nguvu na mapambano ya MTU huja pale anapokuwa na imani na kulitaka wazo lake litimie owe kwa jasho au damu ...Na ukiona unachokitaka kiwe hakitawali ubongo wako na kukupa shida ujue namna gani utakitimiza ... Ujue burning desire haipo
Mtaji wa kwanza upo ndani yako.

👊 Mtazamo tusijenge chuki 👊
 
Me nafkiri nguvu na mapambano ya MTU huja pale anapokuwa na imani na kulitaka wazo lake litimie owe kwa jasho au damu ...Na ukiona unachokitaka kiwe hakitawali ubongo wako na kukupa shida ujue namna gani utakitimiza ... Ujue burning desire haipo
Mtaji wa kwanza upo ndani yako.

👊 Mtazamo tusijenge chuki 👊
shukran
 
Naona mnamwaga nyuzi za maana sana. Nimekuwa kwa ajira kwa zaidi ya miaka kumi. Now nimeachana na ajira. Muziki ndio hobby yangu namba moja hapa chini ya jua. Naamini naujua vzr,nimejifunza kwa muda mrefu sana nikiwa ajirani.
Naziweka hobby zangu kwa scale of preference
1.music
2.kuuza nguo na viatu,hasa hasa viatu.
3.uzalishaji bidhaa mbalimbali hasa za mashuleni au ujenzi(now tumeshasajili brela na tra kwa kuzalisha chaki na gypsum product)
4.ku-export nafaka na bidhaa mbichi km vegetables.
5.uwakala/udalali wa bidhaa mbalimbali.
Just to mention a few.
Nimeamua kuvunja daraja la kuajiriwa,ili hapo mbele niwaajiri wenzangu.
Hapa nilipo nipo on bed,sina hata uhakika wa kupata mlo wa jioni.
LAKINI MOYONI NINA FURAHA.
I BELIEVE MIND SET IS THE NUMBER ONE CAPITAL.
Tuendelee kupeane challenge, ideas na yote yaliyo positive.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me nafkiri nguvu na mapambano ya MTU huja pale anapokuwa na imani na kulitaka wazo lake litimie owe kwa jasho au damu ...Na ukiona unachokitaka kiwe hakitawali ubongo wako na kukupa shida ujue namna gani utakitimiza ... Ujue burning desire haipo
Mtaji wa kwanza upo ndani yako.

Mtazamo tusijenge chuki
Imani ndio kila kitu mkuu. Imani ni noma sana. Tatizo letu ni uoga,tunaamini kwa kuambiwa au kuaminishwa. Sio kuamini kutokana na nafsi(roho)inavyopenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hadi nisajili BRELA kwa ku-supply mchicha kwa mama ntilie. Are you kidding?
Ni muhimu sana kwa sasa. Huenda umeitafsiri biashara ya mchicha inayofanywa km wale kina mama wa pale ilala na buguruni. Unapoingia mkataba na ofisi kubwa kubwa brela na tra ni Jambo la mbolea sana. Usifikiri kwa kiwango cha chini,THINK BIG,START SMALL

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu!

Niende moja kwa moja katika mada;

1. Utajiri
Siri kubwa duniani ya utajiri ni wizi. Dunia hii waliofanikiwa na kuwa matajiri ni wezi narudia tena utajiri wahi dunia upo katika uwezo wa kuiba chochote itategemea unapenda uibe nini ili iwe nini katika maisha yako.


2. Biashara
Biashara na utajiri ni vitu viwili tofauti na usihadaike na maneno ya watu kuwa ukifanya biashara unaweza kuwa tajiri hapana. Isipokuwa ukiwa mwizi kwa kivuli cha biashara ndio utaweza kuwa tajiri.

Biashara ni ajira kama zilivyo ajira nyingine. Watu wote unaosimuliwa au kuwaona hapa duniani ambao ni matajiri tambua hao ni wezi wazuri sana. Uzuri wa wizi unatofautiana na juhudi uliyonayo.

Kibwagizo, ukiwa mwizi hutakaa uwe na amani kwenye maisha yako yote na kila atakayekupinga kihisia au kimawazo au kiuwezo hautaweza kumvumilia utamuona ni adui mkubwa.

Mwisho

Kuwa makini na mwangalifu katika maisha yako acha kutamani kuwa mwizi acha tamaa ya utajiri.

Rejea;
a) Nchi tajiri
b) Watu matajiri
Ndugu naona ushaanza swaga zako za kidini. Ukiufikiria utajiri kidini utapata tabu sana. Waweza tuelezea kuiba ni nini? Na ukatupa mfano wa namna tajiri anavyoiba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni kweli kabisa kwamba Mitaji ni Tatizo, Ila si kwa kiwango tunacho taka kuaminishwa, wewe kama Entrepreners ni lazima pamoja na mambo mengine uwe na Mbinu za kupata mitaji, na tatizo lina kuwa mitaji kwa sababu tuna penda kufanya biashara kubwa sana kitu ambacho ni ndoto, mtu anataka aingie kwenye biashara na amfikie Mengi au jamaa wa Azam, sio rahisi,

Nchi kama Kenya wapo watu wanoenda hata Kupiga Debe ilimuradi wapate mitaji, wapo wanao enda kufanya vibarua vya kufyeka ilimuradi wapate mitaji, Je ulisha wahi jaribu hivyo na kukosa mtaji? AU unataka mtaji wa Milioni 100?

Tatizo tunataka kuanzia juu wakati wenzetu wote waliaznia chini na kufika hapo walipo sasa ingawa iliwachuku miaka mingi,

so ni vizuri kuanza na ulicho nacho, na kusonga mbele kwa sababu maswala ya mitaji yatakukuta mbele ya safari na si kusibiri mtaji ndo safari ianze, kwa sababu hata kama kuna sehemu Mikopo au mitaji inatolwe wanao pewa kipaumbele wa kwanza ni ambao tiyali walisha anza na si ambao wana mawazo
nakubal mkuu
 
HABARI.....?..
wanahitajika madalali tufanye biashara ya magodoro moja kwa moja kutoka kiwandani ,,na mchakato wao mkubwa utakuwa ni kuleta wateja wa jumla na reja reja,,, na watapata malipo kama kawaida punde wanapoleta mteja...
kwa mawasiliano zaidi 0692449416
 
mkuu umeongea point sana tena unakuta kijana vitu anavyomiliki ghetto kwake ni mitaji tosha ukianzia na simu tu unakuta kijana anampaka chandarua ya mmbu ya kupandisha na remont Chandarua ambacho hata MO hana ni ufinyu wa mawazo tu mkuu
 
Unacho sema Mama Joe ni kweli kabisa, Kuna Rafiki yangu Juzi alikuwa ananipatia full story za Maisha ya Wachina, kwa kweli Tanania tunayo kazi sana Bila kubadilika maendeleo tutayasikia kwenye redio, Wachina wana nidhamu ya Hali ya Juu kabisa katika maswala ya fedha na kwa wachina Familia nzima ni lazima ifanye kazi si kwamba Baba na Mama waende kutafuta Huku nyuma watoto wanabakia kula tu ma kutazama TV kutwa nzima, China Kijana akimalzia Chuo ni lazima achacharike hata kwa kuuza pipi, na si kwamba auze pipi then pesa ale no ni pesa ya familia,

- Chiana biashara ya kupigana offa hawaijui
- China Biashara ya kutafuta sifa kwenye Mavazi na magari hawaijui, kuna public transport na zinatosha kabisa sasa garila nini
-
Watanzania kwenye swala la Saving tunaweza kuwa tunaongoza Duniani na si dhani kama kuna nchi nyingine ambayo wanachi wake wana poor Money managment kama sisi.

- Unaweza amka asubuhi kwenda kazini bila kuwa na plan ya kununua chocjote lakini utarudi na viatu kisa tu umekutana na Machinga akiuza viatu,
- Offa zakutafuta sifa
- Sifa za kumilika Gari, unakuta kuna staff Buss lakini mtu anaona bora aende na gari lake mwenyewe kuliko kupanda staff bus

So katika ile wealth Equation bado tunakazi sana
Nashukuru sana Mr Chasha na wanajamii wengine mada zinazotolewa humu kiukweli zinanipanua sana kimawazo.
 
Ni kweli kabisa, Tatizo liko katika Udhubutu, hapo ndo watu wengi sana tunapo shindiwa, Kila mtu ana penda sana kuwa Mjasirimali, ila tatizo linakuja kwenye Kuchoma Meli Moto, inahitajika ujasiri wa ziada, Ila Kitu kmoja nilicho gundua ni kwamba Uoga wa kuingia katika Ujasiriamali ni sawa na Uoga tunao kuwa nao tunapo anza Paper, Ila ukisha piga paper kama mbili tatu hivi Uoga huisha, hata kwenye Ujasirimali ni hivyo tu, kuna time uoga huisha kabisa
Nikweli hasa unapokuwa nashughuli ambayo kipatochake kidogo hakikidhi mahitaji na umeiona fulsa nyingine unapata kugugumizi kuiacha kazi ya kwanza na kuanza nyingine na wateja hawajakuzoea lazima kipato kinaweza simama kwa muda ambao ni mgeni kwenye mradi huu mpya wakati huo mahitaji ya familia yanahitajika kila siku hasa kwa wenye familia.Hili linanihusu wanajamii nashindwa cha kufanya sina mtaji ambao naweza kuugawa nikaanzisha shughuli nyingine maana shughuli zangu ni zaufundi mambo ni magumu Sana.NAOMBA USHAURI WENU WADAU
 
MMASAI OG FASHION SHOES
Ni wauzaji wa simple slippers kali za kimasai kwa bei ya kiwandani jumla na rejareja
Reja reja ni shilingi 7000 tu
Jumla ni shilingi 5000 tu
Tunapatikana Mwenge Dar Es salaam
Mikoani pia Tunatuma bila wasiwasi
Wasiliana nasi text/call/whatsap 0672904720
Karibun sana.....
 

Attachments

  • 366304_sapromasai-slipperz-20200706-200700-1_1080x1350.jpg
    366304_sapromasai-slipperz-20200706-200700-1_1080x1350.jpg
    144.2 KB · Views: 50
  • images (19).jpeg
    images (19).jpeg
    24.1 KB · Views: 49
  • images (8).jpeg
    images (8).jpeg
    20.5 KB · Views: 49
  • IMG-20200623-WA0015.jpg
    IMG-20200623-WA0015.jpg
    47.6 KB · Views: 49
G.P.S (KING'AMUZI) CHA MAGARI PIKIPIKI

Habari wana Jamii Forum

Ninatangaza kampuni yenu ya KITAU MOTOR GPS ( @https://web.facebook.com/KITAUMOTOR/?modal=admin_todo_tour ) inayojihusisha na biashara ya usalama wa vyombo vya moto kupitia GPS na ninahitaji support yenu.

Kama mnavofahamu, biashara katika sector ya usafiri imepamba moto nchini.Lakini palipo na biashara hapakosi changamoto. Wizi wa vyombo vya usafiri kama Pikipiki, Bajaji magari umekithiri kama biashara yenyewe.

Kama KITAU TRANSPORT tunakupa huduma ya GPS kwenye chombo chako. Kwa kutumia GPS yetu utaweza kufatilia mwenendo wa kifaa/vifaa vyako vya moto masaa 24 kwenye simu yako.
ok.png
View attachment 1508184

Utaweza ona:

Location (mahali chombo kilipo)
Displacement (Mwendo na mwelekeo wa chombo chako kama kina tembea)
Geo frencing (Kama kimetoka eneo unalohitaji kiwepo)
GPS zetu ni water proof. Unaweza tumia wakati wa mvua bila wasiwsi wa kuingia maji au kuharibia.

Malipo ni shillingi Elfu kumi kwa mwezi (10,000 TSh) kwa bajaji na Pikipiki na Elfu Kumi na Tano (15,000 Tsh) kwa magari ya aina yoyote.

Kwa mwezi wa kwanza kuna malipo ya shillingi Elfu kumi na tano (15,000) kwa ajili ya usajiri.
Malipo yote yatafanyika baada ya kukufungia gps yako.

Tunapatika Dar-es-Slaam kwa number zifuatazo.

+255 754 711 783


Unaweza kutufuata na ku like kwenye page yetu ya facebook @https://web.facebook.com/KITAUMOTOR/?modal=admin_todo_tour
 
Vijana wengi sio waaminifi hata kidogo ndio kinachofanya kufeli kwenye maisha unapewa pesa kidogo unaiba ukipewa ndoo kubwa imejaa $100 tupu itakuwaje..

Mimi nilianza biashara Miaka 10 iliyopita nilikuwa sina mtaji wowote ule nilianza kuwa dalali lakini sasa hivi namshukuru Sana Mungu tena sana kwa kuniongoza mpaka leo hii sijui kula pesa au mali ya mtu na kitu UAMINIFU ndio jeuri yangu hapa Duniani .

Kwa UAMINIFU na UKWELI tu nimeweza kujenga nyumba zangu mwenyewe sio chini ya 2 viwanja zaidi ya 10 na sasa hivi namshukuru Mungu maisha yangu yanakwenda vizuri sana kwasababu UAMINIFU ndio unafanya kila siku nafanya biashara na watu wa aina tofauti tofauti ..

Napenda tu kuwashauri UAMINIFU ndio mtaji tosha hakuna kingine utapata kazi mpaka mwenyewe utakuwa unaziacha nyingine unaona kero
 
Waheshimiwa naomba msaada wa mawazo naitaji ni jaribu ku agiza vitu kama memory /flash na piya biashara ya nguo kutoka nnje ni fanyeje kwa mtaji mdogo.

Pia, nitumie soko lipi na hatua zipi mpaka mzigo unifikie na mimi ni faidike nao mzigo naomba msaada wa uzoefu wenu na mimi ni nufaike asanteni.

Naomba nipate msaada tafadhali.
 
Back
Top Bottom