hguy platnumz
Member
- Feb 23, 2020
- 74
- 43
asante sana mkuu umeniamsha
shukranMe nafkiri nguvu na mapambano ya MTU huja pale anapokuwa na imani na kulitaka wazo lake litimie owe kwa jasho au damu ...Na ukiona unachokitaka kiwe hakitawali ubongo wako na kukupa shida ujue namna gani utakitimiza ... Ujue burning desire haipo
Mtaji wa kwanza upo ndani yako.
👊 Mtazamo tusijenge chuki 👊
Imani ndio kila kitu mkuu. Imani ni noma sana. Tatizo letu ni uoga,tunaamini kwa kuambiwa au kuaminishwa. Sio kuamini kutokana na nafsi(roho)inavyopenda.Me nafkiri nguvu na mapambano ya MTU huja pale anapokuwa na imani na kulitaka wazo lake litimie owe kwa jasho au damu ...Na ukiona unachokitaka kiwe hakitawali ubongo wako na kukupa shida ujue namna gani utakitimiza ... Ujue burning desire haipo
Mtaji wa kwanza upo ndani yako.
Mtazamo tusijenge chuki
Ni muhimu sana kwa sasa. Huenda umeitafsiri biashara ya mchicha inayofanywa km wale kina mama wa pale ilala na buguruni. Unapoingia mkataba na ofisi kubwa kubwa brela na tra ni Jambo la mbolea sana. Usifikiri kwa kiwango cha chini,THINK BIG,START SMALLSasa hadi nisajili BRELA kwa ku-supply mchicha kwa mama ntilie. Are you kidding?
Ndugu naona ushaanza swaga zako za kidini. Ukiufikiria utajiri kidini utapata tabu sana. Waweza tuelezea kuiba ni nini? Na ukatupa mfano wa namna tajiri anavyoiba?Karibu!
Niende moja kwa moja katika mada;
1. Utajiri
Siri kubwa duniani ya utajiri ni wizi. Dunia hii waliofanikiwa na kuwa matajiri ni wezi narudia tena utajiri wahi dunia upo katika uwezo wa kuiba chochote itategemea unapenda uibe nini ili iwe nini katika maisha yako.
2. Biashara
Biashara na utajiri ni vitu viwili tofauti na usihadaike na maneno ya watu kuwa ukifanya biashara unaweza kuwa tajiri hapana. Isipokuwa ukiwa mwizi kwa kivuli cha biashara ndio utaweza kuwa tajiri.
Biashara ni ajira kama zilivyo ajira nyingine. Watu wote unaosimuliwa au kuwaona hapa duniani ambao ni matajiri tambua hao ni wezi wazuri sana. Uzuri wa wizi unatofautiana na juhudi uliyonayo.
Kibwagizo, ukiwa mwizi hutakaa uwe na amani kwenye maisha yako yote na kila atakayekupinga kihisia au kimawazo au kiuwezo hautaweza kumvumilia utamuona ni adui mkubwa.
Mwisho
Kuwa makini na mwangalifu katika maisha yako acha kutamani kuwa mwizi acha tamaa ya utajiri.
Rejea;
a) Nchi tajiri
b) Watu matajiri
nakubal mkuuMkuu ni kweli kabisa kwamba Mitaji ni Tatizo, Ila si kwa kiwango tunacho taka kuaminishwa, wewe kama Entrepreners ni lazima pamoja na mambo mengine uwe na Mbinu za kupata mitaji, na tatizo lina kuwa mitaji kwa sababu tuna penda kufanya biashara kubwa sana kitu ambacho ni ndoto, mtu anataka aingie kwenye biashara na amfikie Mengi au jamaa wa Azam, sio rahisi,
Nchi kama Kenya wapo watu wanoenda hata Kupiga Debe ilimuradi wapate mitaji, wapo wanao enda kufanya vibarua vya kufyeka ilimuradi wapate mitaji, Je ulisha wahi jaribu hivyo na kukosa mtaji? AU unataka mtaji wa Milioni 100?
Tatizo tunataka kuanzia juu wakati wenzetu wote waliaznia chini na kufika hapo walipo sasa ingawa iliwachuku miaka mingi,
so ni vizuri kuanza na ulicho nacho, na kusonga mbele kwa sababu maswala ya mitaji yatakukuta mbele ya safari na si kusibiri mtaji ndo safari ianze, kwa sababu hata kama kuna sehemu Mikopo au mitaji inatolwe wanao pewa kipaumbele wa kwanza ni ambao tiyali walisha anza na si ambao wana mawazo
Nashukuru sana Mr Chasha na wanajamii wengine mada zinazotolewa humu kiukweli zinanipanua sana kimawazo.Unacho sema Mama Joe ni kweli kabisa, Kuna Rafiki yangu Juzi alikuwa ananipatia full story za Maisha ya Wachina, kwa kweli Tanania tunayo kazi sana Bila kubadilika maendeleo tutayasikia kwenye redio, Wachina wana nidhamu ya Hali ya Juu kabisa katika maswala ya fedha na kwa wachina Familia nzima ni lazima ifanye kazi si kwamba Baba na Mama waende kutafuta Huku nyuma watoto wanabakia kula tu ma kutazama TV kutwa nzima, China Kijana akimalzia Chuo ni lazima achacharike hata kwa kuuza pipi, na si kwamba auze pipi then pesa ale no ni pesa ya familia,
- Chiana biashara ya kupigana offa hawaijui
- China Biashara ya kutafuta sifa kwenye Mavazi na magari hawaijui, kuna public transport na zinatosha kabisa sasa garila nini
-
Watanzania kwenye swala la Saving tunaweza kuwa tunaongoza Duniani na si dhani kama kuna nchi nyingine ambayo wanachi wake wana poor Money managment kama sisi.
- Unaweza amka asubuhi kwenda kazini bila kuwa na plan ya kununua chocjote lakini utarudi na viatu kisa tu umekutana na Machinga akiuza viatu,
- Offa zakutafuta sifa
- Sifa za kumilika Gari, unakuta kuna staff Buss lakini mtu anaona bora aende na gari lake mwenyewe kuliko kupanda staff bus
So katika ile wealth Equation bado tunakazi sana
Nikweli hasa unapokuwa nashughuli ambayo kipatochake kidogo hakikidhi mahitaji na umeiona fulsa nyingine unapata kugugumizi kuiacha kazi ya kwanza na kuanza nyingine na wateja hawajakuzoea lazima kipato kinaweza simama kwa muda ambao ni mgeni kwenye mradi huu mpya wakati huo mahitaji ya familia yanahitajika kila siku hasa kwa wenye familia.Hili linanihusu wanajamii nashindwa cha kufanya sina mtaji ambao naweza kuugawa nikaanzisha shughuli nyingine maana shughuli zangu ni zaufundi mambo ni magumu Sana.NAOMBA USHAURI WENU WADAUNi kweli kabisa, Tatizo liko katika Udhubutu, hapo ndo watu wengi sana tunapo shindiwa, Kila mtu ana penda sana kuwa Mjasirimali, ila tatizo linakuja kwenye Kuchoma Meli Moto, inahitajika ujasiri wa ziada, Ila Kitu kmoja nilicho gundua ni kwamba Uoga wa kuingia katika Ujasiriamali ni sawa na Uoga tunao kuwa nao tunapo anza Paper, Ila ukisha piga paper kama mbili tatu hivi Uoga huisha, hata kwenye Ujasirimali ni hivyo tu, kuna time uoga huisha kabisa