Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

Nimependa mawazo na mtazamo ya kibiashara kijumla .. Hata me huwa nafkr meng sana juu ya kujiajir lakin mtaji ndyo tatizo kuna biashara nying nafikiria lakin pesa tatizo lakn namin ipo cku ntakuwa na biashara zangu kwasasa naendesha biashara za watu yan vitu ambavyo nafkr kufanya nmempa mtu idea na ikaanza nw me ndyo nasimamia ni ufugaj wa kuku wa kienyej na wanyama pamoja nguruwe ila kichwan nina mambo mengi ya kufanya.
 
Ndg yangu CHASA,

Ninachoweza kusema ni MUNGU AKUBARIKI sana.Umeonesha ni jinsi gani usivyo mchoyo na mbinafsi lakini badala yake umekuwa ume share what you know to the public,kiukweli nakupongeza sana.Nadhani umeleta jambo ambalo ni la msaada kwa watu wengi nikiwamo mimi.

Nimesoma michango ya wenzangu na wengi wameonesha kuwa na woga na namna ya kupata mitaji.Ninachoweza kusema ni kwamba kukosa mitaji inaweza kuwa kikomo cha fikra zetu kwani Maandiko katika Biblia yanasema PESA HUFUATA MAONO,that is to say unapokuwa na wazo ambalo lipo sawa basi uwe na uhakika pesa italifuata wazo hilo.Nawatia moyo wote wanaopenda kuanzihsa biashara wasikatishwe tamaa na swala la pesa,pesa zitakuja immmediately baada ya wewe kuwa na wazo.

Ni kweli inawezekana kuwa zipo njia zaidi ya hizi ulizozitaja lakini umeonesha njia na sisi wengine ambao tunao uwezo wa kuleta nyongeza basi fursa ipo na tututmie nafasi hii kuyaleta mbele ya wengine kwaajili ya kubadilisha kizazi chetu haswa katika eneo la kiuchumi.

Naomba kuwasilisha

Ya thats lovely... mindset ndo mitaji yetu. aisee everything its there in the Bible for sure.
 
Kweli mtaji sio tatizo, kama idea ipo excellent basi mtaji utapatikana with no doubt. Kuna sekta mbalimbali zinazosaidia watu kuboresha innovative ideas. Kwa mfano:-DTBi (Dar Teknohama Business incubators-for technological ideas). From then idea yako ikishakamilika unaweza kui present kwa investors, sometimes hata kama haijakamilika kunakuwaga na workshops ambazo zinakaribisha investors wavutiwe na concept yako. (Hizi ni baadhi ya huduma zinazotolewa:-
  • Business Planning Capacity Building and Support
  • Establishment of the company
  • Support towards concept pilot testing
  • Mentoring and Coaching
  • Development of revenue model and financial projections
  • Linkage to potential markets
  • Exposure to expert talks, training and marketing events
  • Evaluation for transition into the next stage
  • In some cases, access to seed capital (finance/grants).
  • The startup incubatees can be resident or non- resident (virtual).
  • Access to high speed internet.
  • Networking events.
  • Exhibitions, workshops and hackerthons.
Watu wana pesa kibao sema wanasubiria yule mtu mwenye excellent idea ili pesa yao isipotee bure. Mi ningeshauri watu wajijenge sana, someni vitu mbalimbali, tembeleeni sehemu tofauti mbadilishe mandhari, pia ni vizuri kuwa open to new business ideas. Pia watu wengi wanaofanikiwa kwenye maisha ni watu wanaothubutu kufanya vitu ambavyo sio watu wengi wangefikiria kufanya.Mimi ni mfanyabiashara na nimezungukwa na wafanyabiashara wakubwa ambao kati yao kuna wanaotengeneza atleast 40million profit on monthly basis. I'm learning from them na kama unapenda nikuunganishe nao ili ujifunze kutengeneza pesa kwa akili kupitia mifano hai, just check on me. Nisingependa kufaidi mwenyewe wakati wengine wanateseka.Kumbuka:-
"Ukitaka kufanikiwa,kaa na watu waliofanikiwa."
C
heck me through this number:-
0659143784
 
Sandra binafsi niko kwenye last stages za kuplan business kama kuna Investors sure I will contact u for the same case yo see if I can raise capital from Investors. Ubarikiwe

Kama unataka ku raise capital from investors,unaweza kuconsult hao proffesionals niliowataja hapo juu ili wakusaidie ku perfect idea yako_On the process of perfecting your idea utafundishwa namna ya kuwa exposed to the investors and utapata capital yako.As for me naweza kukusaidia kufuata njia nayotumia mimi,najifunza kutoka kwa watu waliofanikiwa(successful business proffesionals) ambao nawafahamu,wanafundisha jinsi wanavyoweza kutengeneza pesa nyingi kwa kutumia akili(working smart and not working hard).And wao pamoja na mimi tumetengeneza partnership ya kushare ready made business idea na watu wanaotaka kuanza biashara.Msione watu wanacheza golf siku nzima @ serena,they work smart tofauti na manual workers ambao wanatumia nguvu nyingi wakati returns ni kidogo.#Team Successful people.
 
Yaani mkuu hapo umenena na mawazo ni mazuri lamsingi ni kuyafanyia kazi kwa wenye mtaji na pia kwa wasio na mtaji lakn wana mawazo mazuri juu ya biasha ningependa kuwashaur ni vyema kukopa mtaji hata kidogo na kuukuza kutoka kwenye biashara unayoianzisha!! #"Busness for good life"
 
Back
Top Bottom