NANDERA
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 2,024
- 2,486
Kumbe huwa tunapotezeana muda tu kule kwenye jukwaa la waongowaongo aisee!
Hahahahahaaaaa,,,,,umeona ee? Mi ndo nimekuja huku leo. Ningekuja zamani labda hata biashara yangu nisingefunga. Lakini nimekuja wakati mzuri tu, walau nimepata moyo wa kujaribu kitu kingine na naamini nitafanikiwa. Ntakomaa nacho mpaka kieleweke.