Betri yenye chaji
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 743
- 637
Juma WALEO capital si tatizo, kinacho tusumbua ni udhubutu, hapo ndo kuna taabu mkuu, Capital kubwa kuliko zote ni Sprit uliyo nayo, Unaweza fika mbali sana endapo utakuwa kweli na dhamira ya kufanya hivyo, Watu wengi walianza bila mitaji na sasa wako mbali sana, Mtaji mkubwa ni afya yako, ni akili uliyo pewa na mwenyezi mungu na kazalika
Well said mkuu
Last edited by a moderator: