Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Kuna habari kuwa Bwawa la Mtera na mabwawa mingine yanavujisha maji ,kwani mvua ni nyingi sana lakini kina cha maji hushuka kwa haraka sana,ingawa ni siri wataalamu wamegundua kuwa maji huwa yanapungua kwa haraka sana ,kilichogundulika ni kwa kuta za mabwaha hayo kuzeeka na kupoteza nguvu ya kuzuia maji yasipenye kwenye kuta ,kubwa zaidi na la kukatisha tamaa ni kuwa hakuwezi kufanyika repairing ,kutatua tatizo ni kuvunja na kuyajenga upya ,tokea yajengwe hakuna ukarabati wa aina yeyote wala hakuna utunzaji ni kutumia tu mpaka lipasuke na ndio hivyo yamekwisha expire. ,Nyerere alisema mali mnayo lakini mnaikalia ! akimaanisha uranium.
Ndugu yangu:
umeniogopesha hadi nimebanwa mkojo. ngoja nijikague huenda nshajikojolea!!!!!!!!!!! .........!
hii habari kama ni ya ukweli ni mbaya kuliko JK kuapishwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!