Baadhi ya maeneo jijini hayana umeme kwa karibu masaa 36.

Kuna habari kuwa Bwawa la Mtera na mabwawa mingine yanavujisha maji ,kwani mvua ni nyingi sana lakini kina cha maji hushuka kwa haraka sana,ingawa ni siri wataalamu wamegundua kuwa maji huwa yanapungua kwa haraka sana ,kilichogundulika ni kwa kuta za mabwaha hayo kuzeeka na kupoteza nguvu ya kuzuia maji yasipenye kwenye kuta ,kubwa zaidi na la kukatisha tamaa ni kuwa hakuwezi kufanyika repairing ,kutatua tatizo ni kuvunja na kuyajenga upya ,tokea yajengwe hakuna ukarabati wa aina yeyote wala hakuna utunzaji ni kutumia tu mpaka lipasuke na ndio hivyo yamekwisha expire. ,Nyerere alisema mali mnayo lakini mnaikalia ! akimaanisha uranium.

Ndugu yangu:
umeniogopesha hadi nimebanwa mkojo. ngoja nijikague huenda nshajikojolea!!!!!!!!!!! .........!
hii habari kama ni ya ukweli ni mbaya kuliko JK kuapishwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwakweli umeme umekuwa ni janga la taifa. Watanzania wanazidi kuwa masikini siku hadi siku huku viongozi wetu wakitudanganya kama watoto wadogo. Huku kwetu mwananyamala, wakiamua kuzima, wanazima mpaka siku mbili sasa cjui tatizo ninini? Watu wanatishwa eti kwa sababu hawakuichagua ccm(udiwani) so its like a revenge. Nadhani tetesi hzi zina kaukweli kwani maeneo ya jirani ambayo ccm ilishinda, hali ni tofauti kabisa. Hvi kweli tanzania kuna haki?

Inaonekana kwamba watu wameridhika na hiyo shida ya umeme. Kama kweli ingekuwa kuna kero basi tungeona watu mitaani. Alafu ngoja itokee nafasi wazi ya ubunge ama udiwani, guess what? nani atashinda..............CCM!!
Watu tuache vilio vya kujitakia.
 
Hili halivumiliki sasa, Jamani huku dar sasa kuna baadhi ya maeneo hatuna umeme kwa jaribu masaa 36 sasa. Mimi nipo kigamboni na mara ya mwisho umeme tuliuona jana asubuhi. What the hell is this..?
Chagua CCM kwa maisha bora
 
Hili halivumiliki sasa, Jamani huku dar sasa kuna baadhi ya maeneo hatuna umeme kwa jaribu masaa 36 sasa. Mimi nipo kigamboni na mara ya mwisho umeme tuliuona jana asubuhi. What the hell is this..?
tuliwapa kura wenyewe ndio matunda yake hayo ndugu yanu
 
someone amwamshe nyerere aone mkwerre anapoipeleka hii nchi coz huyu jamaa kashindwa kuongoza nchi an wa2 wakiongea yeye na jamaa zake wa chama cha mafisadi wanasema ni cdm. wakati ata kipofu anaona jinsi nchi inavyokwenda mrama, hatuwez kusubiri kudra za mungu mpaka atupe mvua wakati ametupa uwezo wa kapambanua an kuyatawala mazingira.its a shame for a country with 50 yrs old kuwa gizani.
 
Back
Top Bottom