Mbona mnazidi kuvumilia maana sijasikia mkiandamana kwenda ofisi za Tanesco kuwashinikiza wawapuynguzie hayo makali. Nadhani kwa namna moja shida za kukaa gizani mmezizoea.Hili halivumiliki sasa, Jamani huku dar sasa kuna baadhi ya maeneo hatuna umeme kwa jaribu masaa 36 sasa. Mimi nipo kigamboni na mara ya mwisho umeme tuliuona jana asubuhi. What the hell is this..?
Nipo Njiro Arusha,umeme ulikatika kuanzia jana yapata saa nne usiku na hadi natoka mchana wa saa saba umeme ulikua bado umezimwa!
Nimeonge na jamaa yangu yuko rombo amenambia hawajapata umeme tangu juzi nkamwambia ndo maisha bora kwa kila mbongo. Nakumbuka rais wa wanaccm aliwahi kusema kuwa kufika 2008 au 2009 shida ya umeme bongo ingekuwa historia leo ni twenty eleven!
Yeye ndiye sasa amekuwa historia ya rais anayesema uongo tz kuliko waliomtangulia