kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,045
- 5,192
Hello bosses and roses...
Kwenye harakati zangu nimesikia matumizi ya teknolojia ambayo yameniacha mdomo wazi kwakweli, moja wapo ni hili.
Kuna rafiki yangu yupo huko nchi za watu alinambia kwamba huko madada poa wameacha kupokea cash sababu wateja wengine ni wezi, hivyo wanachofanya wanakua na digital wallets zao na kisha wanatengeneza QR code (kama zile za masterpass) wanazipiga tattoo kiunoni, pembeni ya tacor, au sehemu yyt rahisi kuscan na yenye kuleta midadi kwa mteja
Mteja kabla ya kuanza kuhudumiwa inabidi a-scan kwanza ndo mambo mengine yaendelee.
Huu ubunifu umenishangaza na kunifurahisha kwakweli, nini maoni yenu 'Great Thinkers'....
Kwenye harakati zangu nimesikia matumizi ya teknolojia ambayo yameniacha mdomo wazi kwakweli, moja wapo ni hili.
Kuna rafiki yangu yupo huko nchi za watu alinambia kwamba huko madada poa wameacha kupokea cash sababu wateja wengine ni wezi, hivyo wanachofanya wanakua na digital wallets zao na kisha wanatengeneza QR code (kama zile za masterpass) wanazipiga tattoo kiunoni, pembeni ya tacor, au sehemu yyt rahisi kuscan na yenye kuleta midadi kwa mteja
Mteja kabla ya kuanza kuhudumiwa inabidi a-scan kwanza ndo mambo mengine yaendelee.
Huu ubunifu umenishangaza na kunifurahisha kwakweli, nini maoni yenu 'Great Thinkers'....