kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,062
- 4,874
Haaaaa hii ndio mbaya kwake na yaliyomkuta Jojo last week,
Duh ila kukatwa kubaya jamani,
Haaah inauma sn yaan hapo anawaza izo ela za kusafirisha wapambe n ela ya fomu bora ange wekeza ktk movie zke