Baada ya UKAWA kutoka nje,umeona tofauti ipi Bungeni ?

Siku zote nimekua najiuliza kama kweli Kikwete alitaka kuongoza nchi hii tukufu ipate Katiba mpya. Kwasababu sikumuona yuko serious kama Amani Abeid Karume alivyo sahihisha kwa kiasi kikubwa makosa ya Baba yake ya kuiza Zanzibar kwa CCM!

Kilicho kuwa kinaendelea ktk Vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ni aibu lakini ni kielelezo cha jamii yetu ambavyo ni hovyo kabisa na ndio maana majirani zetu wa EAC wameamua kutudharau!

Nawashukuru UKAWA wameondoka ili kupunguza hii aibu ambayo majirani zetu wakishuhudia matusi, mipasho na ujinga mwingi ambao hata ktk kikao cha kijiji huwezi shuhudia. Ni aibu kubwa kwa wote wanao lipenda taifa hili la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Baada ya tukio la leo ni jukumu la Watawala walio shindwa kujipanga upya ili wasiendelee kufuja pesa za Wananchi wa Tanganyika ktk jambo la hovyo kabisa toka Mwasisi wa Taifa amefariki mwaka 1999!
 
Waimba taarabu ndio waliobakia bungeni.Halafu jamaa katoa pointi za kimsalamsala kama lilivyo jina lake.Masikini yeyote yule na mtu aliyeelimika vizuri hawezi kuipenda sisiemu aka mkoloni mweusi.
 
Ukawa watashiriki je kutengeneza katiba ya TANU na ASP? Wacha Intarahamwe wajinafasi....
 
Nilichokiona ni wabunge wa ccm kuongea kwa kuwaponda wapinzani na sio kujadili jinsi ya kujenga muungano ulio imara
 
Hawa jamaa wa ukawa wanaowakilisha mawazo ya wachache Bungeni huwa siwaelewi wanalengo gani kutoka nje ya bunge baadala ya kuchukua posho na kumaliza hoja zao bila kusikiliza wenzao wa wengi wanasemaje..je, huo ndio uzalendo kuchukua posho za walipa kodi na kuondoka bila kusikiliza upande mwingine ili wajipange kwa hoja au ni uwoga kwamba wakisikiliza mawazo ya wengi watashawishiwa kukubaliana na wengi ama wanaogopa kuumbuliwa kwa unafiki wao kwa baadhi yao ama ni nini hasa...

Ama ni UWOGA ndio unaowasumbua?

Hata mimi huwa nawashangaa kabisa watanzania wenzangu, Yaani Utawala wa CCM wanakwiba pesa benki kuu kwenye mfuko wa EPA lakini hakuna hatua waliyochukuliwa, Ndege inatoka Uarabuni inabeba Twiga wakiwa hai watuhumiwa wanatoroka bila kukamatwa,
Mkuu wa Kaya anawajua Majangili wanaoua Twika na Mkuu wao yuko Arusha lakini hawakamatwi, Mkuu wa Kaya anayo orodha ya wauza Unga lakini hachukulii hatua.
 
Hawa jamaa wa ukawa wanaowakilisha mawazo ya wachache Bungeni huwa siwaelewi wanalengo gani kutoka nje ya bunge baadala ya kuchukua posho na kumaliza hoja zao bila kusikiliza wenzao wa wengi wanasemaje..je, huo ndio uzalendo kuchukua posho za walipa kodi na kuondoka bila kusikiliza upande mwingine ili wajipange kwa hoja au ni uwoga kwamba wakisikiliza mawazo ya wengi watashawishiwa kukubaliana na wengi ama wanaogopa kuumbuliwa kwa unafiki wao kwa baadhi yao ama ni nini hasa...

Ama ni UWOGA ndio unaowasumbua?
Ewe Mtz mwenzengu kwa nini hufikiri zaidi ya posho? Hakika kama ni pesa mbona nyingi zimepotea Kama hujui kamuulize Mr Utoh CAG wa nchi hii uliza nini kimewatoa bungeni
 
Katiba inayopunguza madaraka ya Rais na kuwajibisha wabunge kwa wapiga kura haikubaliki CCM ng'o. Hayo madai ya idadi ya serikali ni kisingizio tu.
 
Ewe Mtz mwenzengu kwa nini hufikiri zaidi ya posho? Hakika kama ni pesa mbona nyingi zimepotea Kama hujui kamuulize Mr Utoh CAG wa nchi hii uliza nini kimewatoa bungeni

Hilo nalo ni tatizo la UWOGA......tunategemea hao watuhumiwa wa upotevu wa huzo pesa kufikishwa mbele ya sheria lakini vyombo husika vimekumbwa na ugonjwa HOFU na ndio unaowasumbua. na ni nani hasa atakuwa jasiri kusimamia na kuipeleka Tanzania mbele ikiwa hata wale tunaowatemea wana ugonjwa wa HOFU.
 
Ukawa ni kikundi cha wasiojua Watanzania wanataks nini ,tuwaombee hawa jamaa

Nmekuelewa sana Jaman et mpaka saiv kuna wenzetu wanaona nsawa tuache ujinga wa uvyama mwigullu kaongea mpaka nmetan kuhama nchi make watu wanaelezwa ukwel lakn hawaelewi mnaomba Jaman Taifa lina htaji toba
 
Hawa jamaa wa ukawa wanaowakilisha mawazo ya wachache Bungeni huwa siwaelewi wanalengo gani kutoka nje ya bunge baadala ya kuchukua posho na kumaliza hoja zao bila kusikiliza wenzao wa wengi wanasemaje..je, huo ndio uzalendo kuchukua posho za walipa kodi na kuondoka bila kusikiliza upande mwingine ili wajipange kwa hoja au ni uwoga kwamba wakisikiliza mawazo ya wengi watashawishiwa kukubaliana na wengi ama wanaogopa kuumbuliwa kwa unafiki wao kwa baadhi yao ama ni nini hasa...

Ama ni UWOGA ndio unaowasumbua?

Jamani Posho inalipwa kwa siku, je haikuwa halali yao kupata malipo ya siku waliyokuwepo. kwanza watu wanaofanya kazi kubwa hapo ni hao waliotoka. CCM wanachukua posho ya kitu gani maana hakuna changamoto wanazoleta katika kufanya mjadala wa katiba uwe na tija. Acha kulalamika kuhusu posho, kama wangekuwa wanaitaka iyo posho walikuwa na uwezo wa kubaki mpaka mwisho bila kuleta changamoto, hapo hata mimi ningewalaumu, lakini hawa ndio waliotufumbua macho kwa mambo mengi sana, hata ile kujua sahihi za waasisi wa muungano zimechakachuliwa, bila wao tungekulia wapi? Sio woga wamefanya vile walivyosukumwa na utaratibu mbovu. Na hili jambo CCM wasidhani ni dogo tena wala wasichekelee wakadhani wamewakomoa wapinzani.
 
Huu uwoga wa UKAWA na CHADEMA umetokea wapi ilhali wamekuwa wakijinadi kuwa wao ni makamanda!
 
Hata mimi huwa nawashangaa kabisa watanzania wenzangu, Yaani Utawala wa CCM wanakwiba pesa benki kuu kwenye mfuko wa EPA lakini hakuna hatua waliyochukuliwa, Ndege inatoka Uarabuni inabeba Twiga wakiwa hai watuhumiwa wanatoroka bila kukamatwa,
Mkuu wa Kaya anawajua Majangili wanaoua Twika na Mkuu wao yuko Arusha lakini hawakamatwi, Mkuu wa Kaya anayo orodha ya wauza Unga lakini hachukulii hatua.

We ndo pambafu maada umeelewa? Unahasira hata kuandika unashindwa et twika hii nchi cyo familia yenu
 
Suala sio posho, cha msimgi cha kujiuliza : ni je kilichowatoa nje kina mantiki?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
...ladha ya Bunge hakuna tena
Imebaki tu ndiyoooo..imepita..
Kihalisia majadiliano yana pande mbili kwa hoja lakini mnapokuwa mtazazo wa kukaririshwa hapo hakunajadala.....kimsingi bunge lepwaya...

wajadili kuruhusu ndoa za ushoga , nafikiri hapo watakuwa wanalo la kulijadili
 
Back
Top Bottom