Android 00
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 774
- 221
Kwani imepelekwa hati au photokop ya hati feki
kama kweli umekerwa naomba uyataje gato matusi ya nguoni ambayo Tundu amewatukana the so called waasis wa Taifa hilo. Hata mwenyekiti wako bila aibu anasema baba wa Taifa ametukanwa, tajeni hayo matusi acheni uzushi. Leo ukweli umegeuka kuwa matusi kwa kuwa tu umemgusa Nyerere? Shame on youMimi bado najiuliza ni "turning point" ipi iliyosababisha wana-UKAWA kutoka nje ya Bunge. Kama ni msimamo imara wa CCM juu ya Serikali 2 wana-UKAWA wanaufahamu tangu wanaripoti pale Bungeni na wanaonekana walikuwa ready kupigana mpaka mwisho!
Tunajua wana-UKAWA walijenga hoja kuwa Muungano huu hauna Hati na ni BATILI! Hoja hii iliwapa morali wa kusonga mbele, liwalo na liwe! Sote tulishuhudia matusi ya nguoni ya "Mwanasheria Nguli" Tundu Lissu dhidi ya Waasisi wa Muungano! Huu ujasiri aliokuwa nao Tundu Lissu umewashangaza wengi, mpaka mwasisi wa CHADEMA Mzee Mtei alipomkemea Tundu Lissu kwa kukosa hekima na adabu!
Mara tukamwona Mzee Stephen Wassira, almaarufu kama Tyson, akanyanyuka pale mjengoni hivi majuzi akijigamba kuwa atawasilisha Hati ya Muungano ndani ya Siku 2!
Hatua hiyo imebadili kabisa upepo wa UKAWA na tumeshuhudia wakijitoa mjengoni ili kwenda "kushtaki kwa wananchi!"
Bado sitaki kuamini kuwa ni ile Hati ya Muungano halisia iliyowatoa mjengoni lakini kuna mazingira yanayounganisha matukio hayo mawili!
Hii ni kwa sababu UKAWA walijua msimamo wa CCM ambao hakuna asiyefahamu kuwa JK aliusisitiza wakati wa Hotuba ya Kuzindua Bunge Maalum la Katiba! Kama hivyo ndivyo basi, WHY NOW?
TUJADILI!
ITV, gazeti la NIPASHE na RADIO ONE , Wote ni wale wale ! maoni kupitia kwao hayapaswi kuaminiwa!
Tatizo la ukawa bangi ndiyo wameziweka mbele kabisa.
Huyu anaga point kabisa tupuuze thread zake kama tunavyompuuza yeye mwenyewe
Ohh nchi yangu Tanzania!!! ndani yako yupo tanganyika na ndugu yake zanzibar lakini ndani ya zanzibar kuna unguja na pemba nini kina tokea nchi yangu?
Hata wale tulio kuwa na imani nao kuwa wataweza kuwatenga watoto wako hao wawili wakuu tanganyika na zanzibar naona na wao wameshindwa, hawana tena la kufanya wanakuja kwetu kushitaki na kutuambia kile ambacho tunakiona na kusikia kwenye radio na luninga zetu.
Ila na fahamu fika jambo mnalo taka kulifanya kwa wakati huu kuja kwetu haliwezekani kwa kuwa wakati wa kuja kupigia debe rasimu hii ya katiba bado ni sura mbili tuu zimejadiliwa na bado hazijafika mwisho hivyo sheria itachukua mkondo wake kwanza hata vibali vya kufanya mikutano yenu hamtoweza kupata.
Nafikiri bado mngeweza kutujulisha hicho mnachotaka kutuambia mkiwa huko dodoma, hapakuwa na haja ya kuja kutuambia huku nje.
Tafakari na chukua hatua
Mhe: T. Lissu kasha sema hati ni feki. Ana vitabu vina saini za A. Aman Karume na JKN. Au kama una hela za zamani kalinganishe sahihi hizo ni Full Magumashi (Bambo hewani). Ww unadhani CCM ni wehu waende kuumbuka Bungeni? Umeona waipeleka Bungeni? Itaishia Ofisi ya JK tu.
kama kweli umekerwa naomba uyataje gato matusi ya nguoni ambayo Tundu amewatukana the so called waasis wa Taifa hilo. Hata mwenyekiti wako bila aibu anasema baba wa Taifa ametukanwa, tajeni hayo matusi acheni uzushi. Leo ukweli umegeuka kuwa matusi kwa kuwa tu umemgusa Nyerere? Shame on you