Baada ya UKAWA kutoka nje,umeona tofauti ipi Bungeni ?

Kikao tulichofanya wanaharakati mapema leo tumeadhimia kuungana na team ukawa ili kuongeza nguvu kudai katiba ya wananchi,aidha chama cha mashetani(ccm) kimetudhalilisha sana watanganyika kwa kutohitaji tanganyika huru irudi wakati zanzibar ni nchi huru kwa mujibu wa katiba ya zanzibar,wanaharakati tunatoa rai kwa serikali kuwa tutafanya mikutano na maandamano popote pale kuamasisha umma kudai katiba ya wananchi na tunaliomba jeshi la polisi kukaa mbali na sisi maana hatutarudi nyuma,wao wamepanga kutuua sisi tumejitayarisha kuuliwa,eeeeeh mwenyezi mungu tusaidie.
 
Unajua kuna wakati picha huwa njia nzuri sana na kufikisha ujumbe na kueleweka zaidi hata na asiyejua kusoma.
Embu cheki magamba yanavyocheza faulu,kipa anatakiwa mmoja wao wamekaa wote mpk juu ya goli.. na mzee wasira ameamua kulala golini kbs..
Wewe unadhan Ukawa mchezaji namba 10 afanyeje kuingiza mpira wavuni?
 

Attachments

  • 3gvt.jpg
    3gvt.jpg
    30.7 KB · Views: 998
Muda tulionao kuelekea uchaguzi mkuu ni mdogo sana ila unatosha sana kisiasa kujipanga kwa kila namna.

Tunawaomba Viongozi wa UKAWA muache ubinafsi muitetee Tanzania yetu bila kujali vyamavyenu vya siasa, wote tunatambua adui yetu ni CCM.

Tanzania bila CCM inawezekana.!!!
 
Muda tulionao kuelekea uchaguzi mkuu ni mdogo sana ila unatosha sana kisiasa kujipanga kwa kila namna.

Tunawaomba Viongozi wa UKAWA muache ubinafsi muitetee Tanzania yetu bila kujali vyamavyenu vya siasa, wote tunatambua adui yetu ni CCM.

Tanzania bila CCM inawezekana.!!!

Tanzana au Tanganyika?
 
Yakhe huyo namba kumi ni Zimbwe ,mzinga wake utapita hapohapo na goli linatinga au unakufa na mtu ,chezea Zimbwe weye ! SI umemuona huyo aliepanua nafikiri Asha huyo :A S 39:
 
Front ukawa nawanaharakati, sie tuko nyuma yenu. Maccm yanakera sana na walle cheap labourers wao rais aliowateua, wachumia tumbo na wasaka tone.hongera wale wachache wa 201 ambao mko pamoja na ukawa kwa maslahi ya wa tz.big up
 
Back
Top Bottom