Sal
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 498
- 228
Jamaa baada ya kupewa uroda mara moja tu na mdada, akajikata, no phone calls, no emails, nothing...! mdada alikauka nae kumpima kama atawasiliana lakini wapi. miezi miwili imekatika jamaa kamtafuta mdada kwa simu, ilibidi dada amuulize mwenzangu nani maana namba alishafuta kwenye phone book yake, akajibu Ronny (sio jina halisi), dada kauliza, Ronny yupi maana nawajua wengi. Mkaka kwa aibu, Ronny wa Bank fulani (akitaja anakofanyia kazi). Mdada "oohh... za siku nyingi kaka.." jamaa sasa "aah.. bwana mimi sio kaka yako sema mpenzi. baada ya hapo jamaa akaanza mlolongo wa hadithi za abunwasi, yaliyomsibu hadi asiwasiliane for two months tena soon baada ya kupewa tunda. ukiangalia ni longo longo tu hakuna cha maana.
Swali linakuja hivi: inakuaje upewe tunda siku ya kwanza baada ya kuzungushwa kidogo of course, kama kawaida ya ladies, halafu baada ya kuonjeshwa upotee moja kwa moja, for two months, ghafla ukurupuke na kuomba misamaha kibao na maelezo yasio na kichwa wa miguu, halafu utegemee kupata tena tunda au urudishwe tena kwenye line? Mi gift na kadi kibao za kuomba misamaha.
To Gents: Unaweza kuhisi nini kimkimbiza huyu kaka then ghafla anaamua kurudi kwa nguvu zote na mi gift na card za kuomba misamaha kibao.
To Ladies: ingekua wewe umefanya nini.
Mwisho: not my story please msini attack, ni ya rafiki yangu. mimi nilimshauri mi gift achukue kwa vile hajamuomba ila aachane nae.
USHAURI PLEASE
Swali linakuja hivi: inakuaje upewe tunda siku ya kwanza baada ya kuzungushwa kidogo of course, kama kawaida ya ladies, halafu baada ya kuonjeshwa upotee moja kwa moja, for two months, ghafla ukurupuke na kuomba misamaha kibao na maelezo yasio na kichwa wa miguu, halafu utegemee kupata tena tunda au urudishwe tena kwenye line? Mi gift na kadi kibao za kuomba misamaha.
To Gents: Unaweza kuhisi nini kimkimbiza huyu kaka then ghafla anaamua kurudi kwa nguvu zote na mi gift na card za kuomba misamaha kibao.
To Ladies: ingekua wewe umefanya nini.
Mwisho: not my story please msini attack, ni ya rafiki yangu. mimi nilimshauri mi gift achukue kwa vile hajamuomba ila aachane nae.
USHAURI PLEASE