Hii chai.
Hivi unajuwa umbali wa kutoka Tanzania hadi Finland?
Hao ndege hawachoki?
Wamewezaje kuvuka bahari kuu?
Wamejuwaje kama hawa ndege wanatoka uyole Tanzania?
ya Iman huwa yana thibitishwa kimaandiko. Leta ushahidi wa kimaandiko kuwa wakati wa garika bara likuwa mojaWakati GHARIKA inatokea, hakukua na Mabara, kumbuka theory of continental drifting, wakati wa GHARIKA kulikua na Bara moja tu kubwa Super Continent, linaitwa PANGAEA, na proof ya hili angalia Madagasca, utaona imemeguka kutoka Pwani ya Msumbiji, na angalia South America, imemeguka kutoka Africa etc!
1: kuumbwa kwa shetaniNitajie failure zake hata tatu nitaamini
Huu ndio upumbav waliowapa wachungaj wenu, hiyo biblia ingekuwa inasomwa kwa msaada wa roho basi nayo ingekuwa ktk ulimwengu wa kiroho ili isomwe kiroho, kwkuwa ipo in physical world bas inapaswa kusomwa kwa akili timamu ulizopewa bure kufikiri, acheni ujinga enyi wafuasi wa dini, ndiomaana mnadanganywa mengi sana na mkiuliza mnaambiwa mambo ya roho hayachungukizi, that's nonsense made bya whiye people kuwapa uoga wa kuhoji na kufikiri ili musione madudu na uongo ktk hivyo vitabu vyenu vyene nadharia za kutungwaUkisoma Biblia kama novo itakusumbua sana. Sali kwanza uombe roho mtakatifu akuongoze katika kuielewa na kuitafakari.
La sivyo utahoji kila kitu.
Kwa mfano genesis 1.27 inasema Mungu aliumba mwanamme na mwanamke. Sasa jiulize huyu aliyetoka ubavuni siku za baadae baada ya Mungu kumwona mwanamme ni mpweke (genesis 2.18) alikua wa ngapi maana kwenye 1.27 alishaumba wawili!
Atleast ww muelewa, inapendeza kuona hiv waafrika wanaamka, inatia hasira kuona mtu mzima anaamini eti dunia ina miaka7000/6000 sabab et kitabu chake cha uongo cha dini kimemuaminisha hivyo.Mwanazuoni...
Qur'an ina miaka takribani 1,200 - 1,300
Bible ina miaka takribani 3,000 - 3,500
Kwa mujibu wa kitabu kikongwe Bible ni kuwa Dunia ina Umri wa kati ya Miaka 6,000 hadi 7,000 kwa kuzingatia andiko la hapo mwanzo Mungu ana fanya uumbaji wa binadamu na viumbe vyote...
lakini hapo hapo...
Binadamu wa kwanza umri wake ni zaidi ya miaka 2 milioni iliyopita aliishi pale eden (Ngorongoro Crator ambayo wamasai na ndunia ina pambania isitoweke)
na ndio kunaitwa chimbuko la mwanadamu, the cradle of humankind... na nyayo zina patikana hapo...
ukienda pale ethiopia kuna kuna binadamu aliishi miaka zaidi ya 1 milioni iliyopita
ukienda pale uingereza kuna historia ya mtu mweusi ndiye wa kwanza kufika na kuishi, waingereza wenyewe wana fahamu, nenda mexico pia wana historia hiyo kama ya uingereza...
mtu wa kwanza kufika pale marekani (USA) alitokea morocco hakuwa mwarabu alikuwa mweusi...
twende misri na nchi za kaskazini mwa afrika historia ipo wazi kuwa ilikaliwa na watu weusi hapo awali kabla ya kuondolewa na historia yao kufutwa... hawa watu walipatikana mpaka israel (Watu weusi, sio hawa waisrael wa sasa waisrael wa mchongo)
twende zaidi...
vitabu vya dini vina eleza umri wa ulimwengu ni kati ya miaka 6,000 hadi 7,000 kwa kuzingatia maandiko hasa Genesis...
lakini mjusi wa pale lindi aliye gunduliwa na wajerumani na wana zidi kugundua kila kukicha mabaki yake...
mabaki ya awali ambayo waligundua na kusafirisha mnamo mwaka 1906 kama sijakosea, wana sema kiumbe huyu aliishi takribani miaka milioni 200 na zaidi, waka msafirisha mjusi yule na kumpeleka kwao ujerumani, yupo katika jumba la makumbusho pale Berlin...
sasa dunia ina kuwaje na miaka 6,000? 7,000?
kwa kuzingatia tafiti zilizo fanyika ambazo zina maajabu mengi ya wamisri na ndio ina semekana ndio chimbuko la mengi hadi hivi vitabu vitakatifu na sio israel kwa mujibu wa watafiti... na hila hizi zilifanywa na watawala wa ulaya hasa ugiliki ambayo ipo jilani na misri, waliiba na kuchoma taarifa nyingi pale misri.
pia kikundi kimoja cha watawa cha ufaransa ndio ina semekana ndio waanzilishi wa secret society (freemason) baada ya kuiba nyaraka za ujenzi wa yale mapiramids ambayo yalijengwa na mtu mweusi
walishangazwa ujuzi walio tumia kupandisha jiwe lenye matani mengi kukaa juu ya mnala bila kuleta shida miaka na miaka, leo waka pindisha story na kusema baba wa imani sjui nani kama sikosei ndio kizazi chake kilijenga hayo mapiramids, wakati umri wa mapiramids ni mkubwa kuliko umri wa baba wa imani...
na jiulize ina kuwaje mmarekani ktk noti yake ameweka mapiramids, na ina semekna yale mapiramids yana siri nzito sanaa...
Nimalizie kidogo, una jua kisa cha mfalme wa ugiriki kwenda kufanya maafa? na kuchoma kila kitu? ni baada ya watu wake kumwambia wale watu wana nguvu kubwa na wana mahusiano na watu walio acha miili (Mizimu).
leo tuna ambiwa wakina Pythagoras ndio wagunduzi wa hesabu sijui milinganyo nk, lakini zilitumika kabla yao na ndio zilijenga hayo mapiramids ya misri...
Tutaendelea... wakati ujao...
FUSO MamaSamia2025 Doyi britanicca KISIWAGA Brightfame Mtoto wa Jadu Ezekiel Mbaga Root Kalunya Introvert_007 Sandali Ali Ntopo Kilebente Azathioprine Lubengera Donatila cocastic yoga Asprin Maxence Melo Njemba Soro. Nuzulati Mkendo Tajiri Kichwa Zero IQ adriz Mwalimu wa tuisheni Ziroseventytwo rubii feitty baby zu Otterhound Triple G Encryption Tomaa Mireni DeepPond Toyota escudo@Lavan Island FRANCIS DA DON The Infinity Mamndenyi Msudu mwandende Kelvin X The imp Nautico@Kapeace johnthebaptist Pascal Mayalla
Hayo makumbusho ya huyo yesu wao(shetani) na baadhi ya shahid za uongo huko jerusalem feki ya middle east hayo mambo yalifadhiliwa na wazungu nayalikuwa planned kwa muda mrefu, kuanzia kutafuta best location ya kuundia taifa feki la israel, pia shahidi na mabaki feki ya mitume na manabii wa biblia, bila kusahau ramani na historia ya dunia kuforce iamni wanachokiamn wao, ndiomaana raman ORIGINAL ya dunia hii huwezi kupata na hutowai ipata maana wanajua sili hii, ikiwekwa ile raman in PUBLIC , hakika hakuna atakae kwenda shule tena, hakuna atakaefuata dini tena, hakuna atakae amini zile fake documentaries za NASA na wahuni wengine, maana kila kitu kitakuwa wazi kuanzia Muonekano Origanal wa dunia, muonekano wa Afrika kuwa kubwa kulko bara lolote lile, pia mfumo wa jua&mwez na nyota, bila kusahau kuhusu mzunguko wa jua, haya yote nadhani tulipigwa sanaMkuu, sijui wale jamaa walitengeneza vipi yale makumbusho kwenye ile njia inayosemekana Yesu alipita.
Anzia Misri-Jordani- Israel!. aisee walijipanga kweli kwelikweli.
Ukienda pale hakika utaamani uwepo wa haya tunayonyasoma katika Bibli na vitabu mbali mbali vya imani.
Swala la miaka katika vitabu na machapisho mbalimbali bado haiko sawa! mfano, unaambiwa asili ya mwanadamu ni Nyani ambaye alikuwa anabadilika kadri muda unavyooenda, at the same time Biblia inasema Mwanadamu wa kwanza alikuwa Adamu pale Eden.
Binafsi, naamini sana muda uliyopo kwenye vitabu vya dini kuliko mambo ya carbon 14 tulizokaririshwa, haiwezekani Vufu la mwanadamu wa kwanzs liko Olduvai, na wakati tunafaham mwanadam wa kwanzs alikuwa Adam.
Haya mambo ukisema uyafuatilie kiundani kwa na kwa logic, huta kaa ukubaliane na hawa watafiti pamoja na maandiko ya vitabu dini (Bible+Quruan)
Mkuu YUPO aliyebaki, apart from Nuhu na familia yake!!Mwanzo 6:7
[7]BWANA akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya.
Hakuna kiumbe kilichobaki
Binadamu wa kwanza haimaanishi ni mtu wa kwanza Bali jamii ya watu wa kwanza kwamba kwa mifupa yote iliyogundulika wake ndio wa zamani zaidi kwa kutumia radiometric dating zipo jamii kama Neaderthals, Australopithecus etc so sio necessarily MTU kama MTU wa kwanza.Mkuu, sijui wale jamaa walitengeneza vipi yale makumbusho kwenye ile njia inayosemekana Yesu alipita.
Anzia Misri-Jordani- Israel!. aisee walijipanga kweli kwelikweli.
Ukienda pale hakika utaamani uwepo wa haya tunayonyasoma katika Bibli na vitabu mbali mbali vya imani.
Swala la miaka katika vitabu na machapisho mbalimbali bado haiko sawa! mfano, unaambiwa asili ya mwanadamu ni Nyani ambaye alikuwa anabadilika kadri muda unavyooenda, at the same time Biblia inasema Mwanadamu wa kwanza alikuwa Adamu pale Eden.
Binafsi, naamini sana muda uliyopo kwenye vitabu vya dini kuliko mambo ya carbon 14 tulizokaririshwa, haiwezekani Vufu la mwanadamu wa kwanzs liko Olduvai, na wakati tunafaham mwanadam wa kwanzs alikuwa Adam.
Haya mambo ukisema uyafuatilie kiundani kwa na kwa logic, huta kaa ukubaliane na hawa watafiti pamoja na maandiko ya vitabu dini (Bible+Quruan)
Duuh..Kama walivyofika wanadamu KILA pembe ya Dunia ndivyo walivyofika wanyama pia.
Achana na story za mtu wa kwanza alipatikana Olduvai.Hizi ni za kutunga.
Mtu wa kwanza alitokea middle east
1. Kibiblia wapo wanaoamini dunia iligawanyika alipozaliwa Peleg Mwanzo 10. Yaani enzi anazaliwa kulitokea tetemeko kubwa lililogawa mabara n.k so pengine wanyama walipokuwepo walibakia huko huko.Tafadhali kama una maelezo yasiyotia shaka tuelezee kuhusu wanyama kufika kwenye mabara mengine baada ya gharika kufikia mwisho wake. Kangaroo alifikaje Australia? Simba wa Serengeti alifikaje pale?
Wale dubu wa America Kaskazini walifikaje?
Ikumbukwe wanyama wote waliingizwa kwenye Safina kabla ya gharika hivyo wanyama wote waliokuwa nje ya safina walikufa.
Jiulize walikusanywaje? Je ilichukua muda gani kupatikana kwa jozi ya wanyama wawili kuingia safinani?Tafadhali kama una maelezo yasiyotia shaka tuelezee kuhusu wanyama kufika kwenye mabara mengine baada ya gharika kufikia mwisho wake. Kangaroo alifikaje Australia? Simba wa Serengeti alifikaje pale?
Wale dubu wa America Kaskazini walifikaje?
Ikumbukwe wanyama wote waliingizwa kwenye Safina kabla ya gharika hivyo wanyama wote waliokuwa nje ya safina walikufa.
Mtu wa kwanza Olduvai. Ndiye AdamKama walivyofika wanadamu KILA pembe ya Dunia ndivyo walivyofika wanyama pia.
Achana na story za mtu wa kwanza alipatikana Olduvai.Hizi ni za kutunga.
Mtu wa kwanza alitokea middle east
Acha fixHapo huwa kuna swali la kujiuliza, Je mafuriko yalikuwa dunia nzima!?
Kwamba kwa kipindi kile dunia iligeuka na kuwa mpira wa maji!?
Wale waliokuwa wanaishi Tandahimba, nao walistahili adhabu ile? Yaani walimkosea Mungu kama ambavyo watu wa Nuhu walivyofanya!
Nadhani mafuriko yale yalikuwa ni adhabu kwa watu wa mji wa Nuhu.