Baada ya maji kumfikia shingoni, Rais wa Misri, Mubarak sasa amemteua Omar Suleiman kama VP! Ifahamike kwamba hakukuwa na VP huko Misri toka jamaa alipopata madaraka mwaka 1981. Huyu jamaa alikuwa head wa Intelligence kabla ya kupewa hiki cheo kipya
Source; Aljazeera
Source; Aljazeera