Ungejitahidi kuficha upumbavu wako ingekusaidia sana ukaheshimika badala ya kuuanika hadharani kama ulivyofanya. Kama hujui jambo sio lazima kuchangia, kukaa kimya yaweza kuwa hekima kuliko kuongea upuuziMh. Lema na yeye ana kihere here sana kila kitu lazima aropoke yeye tu, tumechoka sasa watu wa arusha tunataka mbunge anayefanya kazi kama alivyoahidi sio kila siku mahakamani na polisi tu. 2015 itafika hajafanya lolote zaidi ya kushindana na polisi na kuandaa maandamano yasiyo na tija kwa jii la Arusha khaaa. Angetumia busara kuongea na wale wanafunzi wala haya yote yasingemkuta ropoka ropoka upunguze na usipende kudandia kila kesi na tukio saa zingine vitu vinakuwa framed ili uingie kichwa kichwa yakukute kama yaliyokukuta sasa!! Acha kukurupuka.