Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
- Thread starter
- #21
Mkuu +255Hiyo #2 inakuaje, Wengine tunakula matunda na chakula at the same time?!
Usile matunda mara moja - Mara baada ya kwisha kula matunda baada ya chakula itaweza kusababisha tumbo kuvimba kuwa na hewa. Kwa hiyo inapendeza kula matunda baada ya saa1-2 kula chakula au kabla ya saa 1 kula chakula.
Last edited by a moderator: