Mimi chuma
Member
- Sep 16, 2014
- 31
- 11
shida kubwa, kubwa, kubwa, kubwa.... kwa vijana wa TZ, ni kutojua na kufikiri kuwa wanajua. kujua kunatokana na kujifunza basi! utawakuta vijiweni wanapiga kelele, lakini hawana maarifa ya kutosha. ndio haya ya CRDB.CRDB BANK ilianzishwa 1996, hiyo iliyoandikwa kwenye CV nafikiri sio hii ya hapa Tanzania.