Baada ya kushuhudia athari za tetemeko Uturuki na Syria, Afrika ijitafakari

The lost

JF-Expert Member
Jul 3, 2017
2,695
8,209
Wakuu amani iwe nanyi.

Bara Afrika halijaonesha mshikamano na ulimwengu katika kuwafariji wahanga wa tetemeko la Ardhi lililotokea huko Uturuki na Syria. Viongozi wa Afrika wamekuwa wakituchonganisha na mataifa makubwz ya ulaya Kwa kutuambia wazungu hawana upendo na wanatuhujumu.

Ukweli ni kuwa Wazungu wapo sympathy sana na bila wao Dunia hii ingekuwa sawa na Ile ya mwaka 106 B.C. Binafsi naona wanasiasa wantumia mbinu za kiuchonganishi ili tuone wao wapo kututetea na kutulinda dhidi ya adui mzungu kumbe lengo ni kututawala na kujineemesha.

AU kimyaa hamna hata mfuko mmoja wa ngano uliopelekwa Uturuki ama Syria Kwa wahanga kutoka Afrika. Mikwara kibao sisi ni bara tajira kumbe ujinga mtupu. Afrika imelaniwa.
 
Africa imelaaniwa na nani 😀 Ukiwa na akili ndogo kila jambo utaona mara umelogwa. Ukiona bundi au popo usiku utasema uchawi kumbe mida yao ya mistle

Siku naamka asubuhi nakuta kuna mtu Kanya kimba (mavi ya week nzima) kubwa getini kwangu niliamza kuwaga magadi, yakafuata chumvi ya mawe, nikamwaga maji ya baraka, kuna mti unaitwa kivumbasi nimaloweka maji nokamwaga kusafishia, nikamaliza kwa kuloweka mfupa wa nguruwe nikasafisha ya mwisho. Ila ukwel ni kwamba kuna mlevi tu alipita akashikwa na haja akaamua kumaliziq getini kwenye giza.

kila jambo lina maana ya ziada ila inategemea na ukweli unavyotaka uwe. Mfano hebu Google Hot, Dark and Moist. Kisha uone italeta maana gani?. .

Africa is beautiful with lovely diverse people. I wouldn't chose to be born anywhere else other than Africa. Africa is my home, my sweet sweet home. .
 
Mkuu ulichagua kuzaliwa Afrika ukiwa wapi? Acha upumbavu na Akili za kijinga.
Rafiki yangi The lost unataka nichague kuzaliwa wapi? Wewe ungechagua kuzaliwa wapi?

nimetolea mfano kama ningepewa option ya kuchagua kuzaliwa still ningechagua Africa. .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom