Baada ya kufanyia interview watu bila ya kuajiri UDOM watanganza tena nafasi za kazi

hekimanyingi

JF-Expert Member
Jul 12, 2013
679
573
Nimesoma kwenye gazeti la NIPASHE ya tarehe 12 February 2014 chuo kikuu cha dodoma (UDOM) wametangaza nafasi za kazi nyingi zikiwemo zile ambazo zilifanyiwa usahili mwaka jana bila kuajiri.

Nimejaribu kuangalia huenda kuna UDOM mbili ya mwaka jana na mwaka huu. Ikumbukwe chuo hiki kilitangaza nafasi za kazi mwaka juzi na kuita watu kwenye usahili wa kuandika (Written interview) mwaka 2012 November na baaye mwezi wa March 2013 wakaita waliyofanya vizuri kwenye usahili wa kuandika waliitwa kwenye usahili wa mahojiano.

Cha kusikitisha zaidi mpaka leo pamoja na kufanya usahili hawajaita hao watu na badala yake baadhi ya wanafunzi waliohitimu pale walipigiwa simu na kuja kuanza kazi mara moja bila usahili.

Leo wanatutangazia kazi kwa misingi gani?
 
Nipashe ya tarehe 12 February 2014 au tembelea hapa Academic Staff,Administrative and Technical Staff,Medical Staff | TAYOA Employment Portal
 
Ukiona hivyo mjue waombaji wote vilaza hamku-meet requirements zinazotakiwa. Ile sio kampuni ya kuuza nguo ni taasisi ya elimu ya juu so wanahitajika the best of the best.
 
wadau nimeingia kwenye website yao cjaona kitu chochote kuhusu nafasi walizotangaza....kunani wajameni!
 
Mwenye hilo tangazo please rahisisha maisha kwa kutupia hapa jukwaani lile la Nipashe halijitoshelezi
 
Habari zenu wakuu,

Tukisema UDOM ni chuo cha kata watu huwa wanakuwa wakali sana, pamoja na mapungufu mengi sana waliyonayo UDOM mi nigependa kuzungumzia ajira walizozitangaza leo kupitia gazeti la nipashe

Katika gazeti hili wamezitaja tu kwa majina nafasi ambazo watu wanatakiwa kuziomba kutokana na uwingi wa nafasi zile wasingeweza kuweka details za nafasi zote hivyo wameweka website yao ya chuo ambayo ni "Home" ili ukapate taarifa zaidi lakini cha AJABU na KUSHANGAZA katika web yao hamna kabisa hizo nafasi.

Hicho chuo ni chuo cha aina gani? kama utawala mpo hivyo je wanafunzi wenu wapoje?

Kwa uzembe wa mambo makubwa na nyeti kama hayo kwanini UDOM tusikiite ni chuo cha kata wakuu?

NAWASILISHA.
 
HUO UZEMBE HATA MI NIMEUONA ....KWENYE WEBSITE NAKO HAKUELEWEKI KWA NAFASI ZA LECTURERS,T.A NA INSTRUCTORS. :A S embarassed:
 
kama hujachaguliwa manake hujaqualify...sasa unataka kilaza kama wewe wakupeleke wapi?
kama ni chuo cha kata unatafuta hizo nafas za.kaz zikusaidie nini? tena mara ya pili huna haya..unaponda huku hata kubahatika hutabahatika
 
waliofanya interview wameshaitwa kazini,tangazo la kuitwa limetoka jana,angalia webpage ya utumishi.
 
mbona me niliitwa? ila nina gpa 4.5! kwa vijana wengi wa kisasa hiyo kugusa ni majangaaaa
 
mbona me niliitwa? ila nina gpa 4.5! kwa vijana wengi wa kisasa hiyo kugusa ni majangaaaa

wenye GPA kubwa wengi wao ni kukrame tu ndo janja yao, huwa wanategemea gpa zi solve maisha,wakikosa ajira full kupiga tarumbeta! mi na 2.5 yangu naajiri watu hawa, teh teh teeee
 
mbona me niliitwa? ila nina gpa 4.5! kwa vijana wengi wa kisasa hiyo kugusa ni majangaaaa

watu wenye GPA kubwa most ni kramers, wanategemea gpa zi solve maisha, kujiajiri hamna, wakikosa kazi full kupiga kelele kama chura majin, mi nina 2.7 yangu full kuajiri watu kama hawa, ni MIZIGO
 
I am in a join venture with a drop out but he is running the show greatly, uwa nacheka na kufurahi sana akiwa anaintaview graduates na wenye masters zao na credentials za kutosha. vijana wenzangu thnk out of the box. boy! think think think and develop your imagination faculty. by the way imagination is a six sense of man, do your best to develop it.
 
Nimesoma kwenye gazeti la NIPASHE ya tarehe 12 February 2014 chuo kikuu cha dodoma (UDOM) wametangaza nafasi za kazi nyingi zikiwemo zile ambazo zilifanyiwa usahili mwaka jana bila kuajiri.

Nimejaribu kuangalia huenda kuna UDOM mbili ya mwaka jana na mwaka huu. Ikumbukwe chuo hiki kilitangaza nafasi za kazi mwaka juzi na kuita watu kwenye usahili wa kuandika (Written interview) mwaka 2012 November na baaye mwezi wa March 2013 wakaita waliyofanya vizuri kwenye usahili wa kuandika waliitwa kwenye usahili wa mahojiano.

Cha kusikitisha zaidi mpaka leo pamoja na kufanya usahili hawajaita hao watu na badala yake baadhi ya wanafunzi waliohitimu pale walipigiwa simu na kuja kuanza kazi mara moja bila usahili.

Leo wanatutangazia kazi kwa misingi gani?

Chuo cha kata unategemea nini?
 
Back
Top Bottom