Baada ya jipu la wakala wa vipimo sasa kuhamia NSSF

adobe

JF-Expert Member
May 6, 2009
2,776
1,877
Taarifa za ki intelijensia zolizonifika ni kuwa baada ya jipu wakala wa vipimo kutumbiliwa sasa hali ya wakubwa huko NSSF matumbo yako moto na kwa taariza zaidi hivi Leo Waziri mkuu majaliwa alokuwa atembelee NSSF lakini imeahirishwa ghafla.

Taariza toka jikoni watakaotumbuliwa ni mkuu wa shirika, mkuu wa miradi na uwekezaji pamoja na wote waliohusika kufanya miradi ya kisanii hasa daraja la Kigamboni ambako gharama halisi si zaidi ya bilioni 160 ila NSSF waliweka cha juu hadi 260b utakumbuka kuwa Magufuli wakati huo akiwa waziri wa ujenzi alimgomea dau kujenga na kusimamia daraja hilo ila dau alimzunguka kwa JK na hatimae JP aliondolewa ujenzi na kupelekwa uvuvi ndipo dau alipocheza mchezo na mkataba wa ujenzi ukasainiwa.

Kuna taarifa kuwa wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi wakati huo JP alisharudi ujenzi, dau hakumtaarifu JP kuhusu ufunguzi huo kitu kilichomshangaza sana JP. Kwa taarifa za ndani ni kuwa bwana dau alokuwa na dharau sana enzi za JK na aliwaona mawaziri wote kama watunza bustani hata waziri wa kazi enzi hizo alokuwa hawezi kuhoji lolote pale NSSF maana dau akipiga simu kwa JK kibarua hatarini.
 
taarifa za ki intelijensia zolizonifika ni kuwa baada ya jipu WAKALA WA VIPIMO kutumbiliwa sasa hali ya wakubwa huko Nssf matumbo yako moto na kwa taariza zaidi hivi Leo Waziri mkuu majaliwa alokuwa atembelee Nssf lakini imeahirishwa gafla.taariza toka jikoni watakaotumbuliwa ni mkuu wa shirika,mkuu wa miradi na uwekezaji pamoja na wote waliohusika kufanya miradi ya kisanii hasa daraja LA kigamboni ambako gharama halisi si zaidi ya bilioni 160 ila Nssf waliweka cha juu hadi 260b.utakumbuka kuwa magufuli wakati huo akiwa Waziri wa ujenzi alimgomea dau kujenga na kusimamia daraja hilo ila dau alimzunguka kwa jk na hatimae jp aliondolewa ujenzi na kupelekwa uvuvi ndipo dau alipocheza mchezo na mkataba wa ujenzi ukasainiwa,kina taarifa kuwa wakati wa uwekaji wa jiwe LA msingi wakati huo jp alisharudi ujenzi,dau hakumtaarifu jp kuhusu ufunguzi huo kitu kilichomshangaza sana jp.kwa taarifa za ndani ni kuwa bwana dau alokuwa na dharau sana enzi za jk na aliwaona mawaziri wote kama watunza bustani hata Waziri wa kazi enzi hizo alokuwa hawezi kuhoji lolote pale Nssf maana dau akipiga sm kwa jk kibarua hatarini.
 
Bil 100 zirejeshwe !
majipu kila kona !
aisee!
HUKU WAGONJWA WAKILALA CHINI MAHOSPITALINI.
WAPO WANADAMU USONI WANAPENDEZA SANA LAKINI NI ZAIDI YA WANYAMA.
 
Mwaka huu, watu watakula watoto
taarifa za ki intelijensia zolizonifika ni kuwa baada ya jipu WAKALA WA VIPIMO kutumbiliwa sasa hali ya wakubwa huko Nssf matumbo yako moto na kwa taariza zaidi hivi Leo Waziri mkuu majaliwa alokuwa atembelee Nssf lakini imeahirishwa gafla.taariza toka jikoni watakaotumbuliwa ni mkuu wa shirika,mkuu wa miradi na uwekezaji pamoja na wote waliohusika kufanya miradi ya kisanii hasa daraja LA kigamboni ambako gharama halisi si zaidi ya bilioni 160 ila Nssf waliweka cha juu hadi 260b.utakumbuka kuwa magufuli wakati huo akiwa Waziri wa ujenzi alimgomea dau kujenga na kusimamia daraja hilo ila dau alimzunguka kwa jk na hatimae jp aliondolewa ujenzi na kupelekwa uvuvi ndipo dau alipocheza mchezo na mkataba wa ujenzi ukasainiwa,kina taarifa kuwa wakati wa uwekaji wa jiwe LA msingi wakati huo jp alisharudi ujenzi,dau hakumtaarifu jp kuhusu ufunguzi huo kitu kilichomshangaza sana jp.kwa taarifa za ndani ni kuwa bwana dau alokuwa na dharau sana enzi za jk na aliwaona mawaziri wote kama watunza bustani hata Waziri wa kazi enzi hizo alokuwa hawezi kuhoji lolote pale Nssf maana dau akipiga sm kwa jk kibarua hatarini.
 
Kama ni kweli do....m kwamba tofauti ya mradi ni 100b? Hizi pesa hawa watu wanazipeleka wapi? Hizi pesa zinaweza wapa maji watanzania, zaidi ya vijiji 200... au kujenga barabara 100km, Dar to chalinze kupunguza ajali na msongamano wa magari. .. Tz yangu ni nani aliye kuroga???
 
Ila ufunguzi Wa daraja mbona magufulialikuwepo
Magufuli alienda baada ya kumpigia simu dau na kumuuliza mbona ndugu yangu dau hujanipa taarifa za uwekaji jiwe LA msingi?
Majini ya dau:-
Kama umesikia kuwa jiwe LA msingi zinawekwa wee njoo tu.(jibu LA mtu kwenye PhD kwa kiongozi wake hilo)
Alionyesha dharau za wazi kwa jpm,kwa kujua hilo na kwa kuwa ndye alokuwa Waziri na kuwa ndye kwenye jukumu LA kumkaribisha rais,ilimbidi aende tu.dau anamwambia jpm eti hujasikia kwenye vyombo vya habari uwekaji jiwe LA msingi!!hakujua jpm ni senior kwake?!!
 
Taarifa za ki intelijensia zolizonifika ni kuwa baada ya jipu wakala wa vipimo kutumbiliwa sasa hali ya wakubwa huko NSSF matumbo yako moto na kwa taariza zaidi hivi Leo Waziri mkuu majaliwa alokuwa atembelee NSSF lakini imeahirishwa ghafla.

Taariza toka jikoni watakaotumbuliwa ni mkuu wa shirika, mkuu wa miradi na uwekezaji pamoja na wote waliohusika kufanya miradi ya kisanii hasa daraja la Kigamboni ambako gharama halisi si zaidi ya bilioni 160 ila NSSF waliweka cha juu hadi 260b utakumbuka kuwa Magufuli wakati huo akiwa waziri wa ujenzi alimgomea dau kujenga na kusimamia daraja hilo ila dau alimzunguka kwa JK na hatimae JP aliondolewa ujenzi na kupelekwa uvuvi ndipo dau alipocheza mchezo na mkataba wa ujenzi ukasainiwa.

Kuna taarifa kuwa wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi wakati huo JP alisharudi ujenzi, dau hakumtaarifu JP kuhusu ufunguzi huo kitu kilichomshangaza sana JP. Kwa taarifa za ndani ni kuwa bwana dau alokuwa na dharau sana enzi za JK na aliwaona mawaziri wote kama watunza bustani hata waziri wa kazi enzi hizo alokuwa hawezi kuhoji lolote pale NSSF maana dau akipiga simu kwa JK kibarua hatarini.


Hizi fununu ni kweli ...lile daraja liko overpriced by three times .....Hiyo ni pamoja na Miradi mingi ya NSSF ya majengo ambayo ni WHITE ELEPHANTS
 
Yaani hamna kitu kitakua kizuri kwa Magufuli kama kupeleka Muswada bungeni wa kuwapa meno Takukuru na Usalama wa Taifa ,haya mambo ya kupigiana simu kizembe yasinge fanikiwa ,Dau usiye mtaka kaja
 
Magufuli alienda baada ya kumpigia simu dau na kumuuliza mbona ndugu yangu dau hujanipa taarifa za uwekaji jiwe LA msingi?
Majini ya dau:-
Kama umesikia kuwa jiwe LA msingi zinawekwa wee njoo tu.(jibu LA mtu kwenye PhD kwa kiongozi wake hilo)
Alionyesha dharau za wazi kwa jpm,kwa kujua hilo na kwa kuwa ndye alokuwa Waziri na kuwa ndye kwenye jukumu LA kumkaribisha rais,ilimbidi aende tu.dau anamwambia jpm eti hujasikia kwenye vyombo vya habari uwekaji jiwe LA msingi!!hakujua jpm ni senior kwake?!!
Huyo Dau alipishana na gari la mshahara.
 
Hizi fununu ni kweli ...lile daraja liko overpriced by three times .....Hiyo ni pamoja na Miradi mingi ya NSSF ya majengo ambayo ni WHITE ELEPHANTS
@barborosa alifungua uzi wenye mantiki humu ila wana jf walimuumua uso, alikula za uso za kutosha!
 
Back
Top Bottom